Hawa ndo mahandsome wa JamiiForums

Hawa ndo mahandsome wa JamiiForums

1.View attachment 803829
Mshana Jr

2.View attachment 803830
GuDume

3.View attachment 803832
Mr Miller

4.View attachment 803833
Hazard fc

5.View attachment 803834
Humble African

Kwa hisani yangu kwa mara ya kwanza nimekutana na mahanshaamy kutoka Jf wengine loooh sura ngumu kama chochoro za Mwananyamala koma koma.


Demiss Malaikaa.
Niongeze na mimi hapo
DSC_1343.JPG

[emoji2] [emoji2]
 
Halafu pm zangu kwa nn haunijibu nimekukosea nn au sababu umeshajua nakupenda we babu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Hapana nipo mbeya one time makao makuu nakuja jpili ndo maana nlitaka iwe muhimu maana ijumaa tena naelekea mwanza
Khaaaaa basi tufanye kila liwezekanalo wote turudi jpil na club tutaendaaa eeeh ndo zangu hizoooo
 
Back
Top Bottom