Hawa ndo mahandsome wa JamiiForums

Hawa ndo mahandsome wa JamiiForums

1.View attachment 803829
Mshana Jr

2.View attachment 803830
GuDume

3.View attachment 803832
Mr Miller

4.View attachment 803833
Hazard fc

5.View attachment 803834
Humble African

Kwa hisani yangu kwa mara ya kwanza nimekutana na mahanshaamy kutoka Jf wengine loooh sura ngumu kama chochoro za Mwananyamala koma koma.


Demiss Malaikaa.
Tafuta kazi ya kufanya,kushinda kwako JF huku ukiandika vitu visivyo na maana wala muelekeo hakutokusaidia lolote,fainali uzeeni,angalia usije ukawapa shida wengine huko mbeleni kwa uzembe wako.
 
Tafuta kazi ya kufanya,kushinda kwako JF huku ukiandika vitu visivyo na maana wala muelekeo hakutokusaidia lolote,fainali uzeeni,angalia usije ukawapa shida wengine huko mbeleni kwa uzembe wako.
Haya kaka nashukuru nitakuja pm basi unipe mada za kuandika
 
Back
Top Bottom