Ue makin na haya mashambalai kuna nzuri na mabovu, unafika daaa utumbo , bandama vimehamia kifuani na ulivyo mrembo sasa, kuna moja hio ina makonda wana sura chafuu hatari, ukimpa nauli baadae ukidai/ukiulizia chench akigeuka tu ukimwangalia usoni utashaanga unabadilisha maelezo " samahani baba unanidai sh ngap?"
Sent using
Jamii Forums mobile app