Hawa ndo wadada wazuri Duniani

Hawa ndo wadada wazuri Duniani

Hii list wakati inatoka wangekuja kumtazama , mke wangu kwanza zamani nlisikia hadithi kwamba mwanamke wa kwanza kwa uzuri alikuwa cleopatra yule kiongozi wa Misri bahati mbaya waandishi wa Historia hizo hawakumshuhudia mke wangu.

Tukirudi kwenye List hamna uzuri wowote zaidi ya Umaarufu walionao , zaidi zaidi ni MakeUp na Plastic surgery tu ambazo kinyume na kuongeza Uzuri hutia dosari kwenye Urembo

We prefer ladies wid their natural state
 
Hii list wakati inatoka wangekuja kumtazama , mke wangu kwanza zamani nlisikia hadithi kwamba mwanamke wa kwanza kwa uzuri alikuwa cleopatra yule kiongozi wa Misri bahati mbaya waandishi wa Historia hizo hawakumshuhudia mke wangu.

Tukirudi kwenye List hamna uzuri wowote zaidi ya Umaarufu walionao , zaidi zaidi ni MakeUp na Plastic surgery tu ambazo kinyume na kuongeza Uzuri hutia dosari kwenye Urembo

We prefer ladies wid their natural state
Sure
 
.
JamiiForums1333671269.gif
 
Kilichonifurahisha kwenye huu uzi ni comments za hivi; “ hawajamuona mke wangu, kama mke wangu hayupo uzi ni batili” yaani it’s so manly when a man flaunts about his wife.

Nikiwakilisha kina mama manka wooote duniani naombeni leo mkienda majumbani muwaoneshe hizo comments zenu. Hakika hamtonyimwa😂😂😂
 
Back
Top Bottom