Hawa ndo wadada wazuri Duniani

Hawa ndo wadada wazuri Duniani

Kilichonifurahisha kwenye huu uzi ni comments za hivi; “ hawajamuona mke wangu, kama mke wangu hayupo uzi ni batili” yaani it’s so manly when a man flaunts about his wife.

Nikiwakilisha kina mama manka wooote duniani naombeni leo mkienda majumbani muwaoneshe hizo comments zenu. Hakika hamtonyimwa😂😂😂
Unasema kweli?
 
Kilichonifurahisha kwenye huu uzi ni comments za hivi; “ hawajamuona mke wangu, kama mke wangu hayupo uzi ni batili” yaani it’s so manly when a man flaunts about his wife.

Nikiwakilisha kina mama manka wooote duniani naombeni leo mkienda majumbani muwaoneshe hizo comments zenu. Hakika hamtonyimwa😂😂😂
Wanaume wanapenda wake zao sema tuu shetani huwa anawapitia chapuuu
 
Kilichonifurahisha kwenye huu uzi ni comments za hivi; “ hawajamuona mke wangu, kama mke wangu hayupo uzi ni batili” yaani it’s so manly when a man flaunts about his wife.

Nikiwakilisha kina mama manka wooote duniani naombeni leo mkienda majumbani muwaoneshe hizo comments zenu. Hakika hamtonyimwa😂😂😂
Unanichokoza sio na kumtania mama manka wangu sio?
 
Back
Top Bottom