Hawa ndo watu wenye stress za hatari. Tuwaombee

Hawa ndo watu wenye stress za hatari. Tuwaombee

Mwanasisiemu ambae hapendi chama ila anajikomba kwa mama ili apate uteuzi ni miongoni mwa wenye stress sana
 
Kimsingi wamevurugwa.

1. Mtu aliyetumia fedha za mafao kuanzisha biashara ya usafiri/usafirishaji akauziwa chombo kibovu.

2. Mtu anayeishi nchi nyingine bila vibali.

3. Mtu aliyeanza kujipata akashawishiwa kutafuta ubunge kisha akaaangukia pua akiwa tayari kapoteza fedha nyingi.

4. Mtu aliyeachwa ghafla kwenye mapenzi bila hiari yake.

5. Kiongozi wa umma aliyetumbuliwa na kujikuta mikononi mwa TAKUKURU kwa uchunguzi zaidi.

6. Mtu anayetafutwa na polisi au vyombo vingine vya dola.

7. Mtu anayetuhumiwa kwa ubakaji au kumpa mimba mwanafunzi.

8. Mfuasi wa Mbowe.

9. Mtu mwenye mshahara usiofika tarehe 10.

10. Mtu yeyote mwenye mkopo wenye riba.
Wabunge wa ccm
Wagombea wa ccm
Chawa wa mama
 
Aliyekopa kwa ajili ya kuzalisha hsna stress, labda kama huwa unakopa kwa ajili ya kuwekeza kwenye liabilities/consumables ndio utakuwa na stress.
 
Kimsingi wamevurugwa.

1. Mtu aliyetumia fedha za mafao kuanzisha biashara ya usafiri/usafirishaji akauziwa chombo kibovu.

2. Mtu anayeishi nchi nyingine bila vibali.

3. Mtu aliyeanza kujipata akashawishiwa kutafuta ubunge kisha akaaangukia pua akiwa tayari kapoteza fedha nyingi.

4. Mtu aliyeachwa ghafla kwenye mapenzi bila hiari yake.

5. Kiongozi wa umma aliyetumbuliwa na kujikuta mikononi mwa TAKUKURU kwa uchunguzi zaidi.

6. Mtu anayetafutwa na polisi au vyombo vingine vya dola.

7. Mtu anayetuhumiwa kwa ubakaji au kumpa mimba mwanafunzi.

8. Mfuasi wa Mbowe.

9. Mtu mwenye mshahara usiofika tarehe 10.

10. Mtu yeyote mwenye mkopo wenye riba.
11. Wafuasi wa makanisa ya kiroho kama kina mwamposa na wengine.
12. Wafuasi wa muhammad kama akina FaizaFoxy siku zote maisha yanakuwa magumu kwao mpaka wanashindwa kujua nani ni adui wao. Maana wanapigana na kila mtu mpaka wenyewe kwa wenyewe kama Sudan, Somalia, Libya nk
 
Mimi hapo sijui mniombee kwenye lipi maana naona kama yote yananihusu
 
Waliopewa ubunge na udiwani na jiwe wakiwaza 2025 itakuwaje.
 
Kimsingi wamevurugwa.

1. Mtu aliyetumia fedha za mafao kuanzisha biashara ya usafiri/usafirishaji akauziwa chombo kibovu.

2. Mtu anayeishi nchi nyingine bila vibali.

3. Mtu aliyeanza kujipata akashawishiwa kutafuta ubunge kisha akaaangukia pua akiwa tayari kapoteza fedha nyingi.

4. Mtu aliyeachwa ghafla kwenye mapenzi bila hiari yake.

5. Kiongozi wa umma aliyetumbuliwa na kujikuta mikononi mwa TAKUKURU kwa uchunguzi zaidi.

6. Mtu anayetafutwa na polisi au vyombo vingine vya dola.

7. Mtu anayetuhumiwa kwa ubakaji au kumpa mimba mwanafunzi.

8. Mfuasi wa Mbowe.

9. Mtu mwenye mshahara usiofika tarehe 10.

10. Mtu yeyote mwenye mkopo wenye riba.
Sie wenye vibamia na hatujui kutombering aisee tuna stress kinomaa. Hujakaa sawa lazima usikie wanawake wakikandia wanaume wenye vibamia
 
Back
Top Bottom