Hawa ndo watu wenye stress za hatari. Tuwaombee

Mwanasisiemu ambae hapendi chama ila anajikomba kwa mama ili apate uteuzi ni miongoni mwa wenye stress sana
 
Wabunge wa ccm
Wagombea wa ccm
Chawa wa mama
 
Aliyekopa kwa ajili ya kuzalisha hsna stress, labda kama huwa unakopa kwa ajili ya kuwekeza kwenye liabilities/consumables ndio utakuwa na stress.
 
11. Wafuasi wa makanisa ya kiroho kama kina mwamposa na wengine.
12. Wafuasi wa muhammad kama akina FaizaFoxy siku zote maisha yanakuwa magumu kwao mpaka wanashindwa kujua nani ni adui wao. Maana wanapigana na kila mtu mpaka wenyewe kwa wenyewe kama Sudan, Somalia, Libya nk
 
Mimi hapo sijui mniombee kwenye lipi maana naona kama yote yananihusu
 
Waliopewa ubunge na udiwani na jiwe wakiwaza 2025 itakuwaje.
 
Sie wenye vibamia na hatujui kutombering aisee tuna stress kinomaa. Hujakaa sawa lazima usikie wanawake wakikandia wanaume wenye vibamia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…