Hawa ndo wazee wa comment za kinafiki zisizokuwa na mawazo mbadala kwenye mada

Hawa ndo wazee wa comment za kinafiki zisizokuwa na mawazo mbadala kwenye mada

Umesahau

Duh aiseee

Inashangaza sana

Ngoja waje wataalamu

All the Best Yanga

1739388788187.jpg
 
Numbisa huyu comment yake ukiiona ni ilimradi amechangia tu

Smart911 huyu pia ndo wale wale

Hawa sio watu ambao wanaweza kutoa mawazo mbadala Kwa mtu

Comment zao hizi hapa
  • Ebu tuone
  • Binadamu wabishi
  • Inafurahisha
  • Inasikitisha
  • Pole
Mwingine ni Hance Mtanashati. He's very boring dude and total imbecile. He always comes with his comment of "Chai", whenever, he is unimpressed with the topic. Very stupid.
 
Huwezi lazimisha mtu kuwa wewe utakavyo mkuu, watu hawawezi kufanana "jamii" inawafuasi zaidi ya laki hiyo "egocentric" yako Ebu jitahidi uizidi nguvu mkuu
 
Back
Top Bottom