Hawa ndo wazee wa comment za kinafiki zisizokuwa na mawazo mbadala kwenye mada

Hawa ndo wazee wa comment za kinafiki zisizokuwa na mawazo mbadala kwenye mada

Nampenda Sana dada Numbisa hasa vile akiamua kuchambua Moira na kuongelea Mambo ya mpira hakika uwa ananikosha ndiyo maana nimeiba profile picture yake naitumia kwenye WhatsApp yangu .

Ni mtu na nusu katika anga za Mambo ya michezo hasa mpira wa miguu
Hiyo profile picha ya Numbisa Usiipigie nyeto tu uko watsap
 
Back
Top Bottom