Hawa ni maDj wa Kenya wanaokimbiza sana Tanzania kwa mix kali

Hawa ni maDj wa Kenya wanaokimbiza sana Tanzania kwa mix kali

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Kwenye simu yangu sina mix hata moja ya dj wa kitanzania,sijawahi kupata.
Madj maarufu wa kenya na wakali hawa hapa.
1. Dj Prince
2. Dj Perez
3. Dj Shinsk
4. Dj Layta
Huwezi kukuta mtanzania ana mix yeyote ulakosaajina ya hawa jamaa. Ni wakali sana. Kuna jamaa mmoja anajiita mc fullstop asee sijawahi show kama zake Tanzania.
Bongo nani mkali? Na ukali wake tunaujuaje? Una mix ya mkali huyo?.
Hongereni sana wakenya.
 
Tatizo la jamii forum,mtu akisifia kitu,jishughulishe kukitafuta utaishia kuvunjika moyo tu.Binafsi sijawah angalia movie nzuri ambayo imekuwa recommended kutoka JF.
Unataka kusema nachosema ni uongo?
 
Tatizo la jamii forum,mtu akisifia kitu,jishughulishe kukitafuta utaishia kuvunjika moyo tu.Binafsi sijawah angalia movie nzuri ambayo imekuwa recommended kutoka JF.
Sikiliza mix za DJ shinski hutojutia..... ana taste nzuri na mix zake hazina zile kelele za yoyoyo dj blah blah. Nna playslist special ya dj shinski zaidi ya mix 20+
 
Tatizo la jamii forum,mtu akisifia kitu,jishughulishe kukitafuta utaishia kuvunjika moyo tu.Binafsi sijawah angalia movie nzuri ambayo imekuwa recommended kutoka JF.
Huyo hapo you tube

Screenshot_20211015-234502_YouTube.jpg
 
Sikiliza mix za DJ shinski hutojutia..... ana taste nzuri na mix zake hazina zile kelele za yoyoyo dj blah blah. Nna playslist special ya dj shinski zaidi ya mix 20+
Mimi nina 2 tu ila Prince nina zaidi ya 20+ ngoja nikapakue za Shinsk zaivi
 
Back
Top Bottom