Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Nape ndiye alienda kuomba radhi eeeh? Kamera zikamchukua toka nje kabisa.....daah walimwambia sijui apaki gari IFM ndiyo atembee....maana alikuwa amesweti sanaBinafsi katika watu ambao waliondoka kwenye ramani akaniuma Ni Nape Nnauye.
Huyu Jamaa ana kipaji Cha politics,Mama afanye Busara kumrudisha kwenye ramani,bado anahitajika.
WAPO WATANZANIA SIO WANAFIKI!!! NAPE NI MNAFIKI, SI MLIMSIKIA ALIVYOKUWA ANAMSEMA VIBAYA MAGUFULI ; ALIVYOKAMATWA AKAENDA KULAMBA MIGUU YAKE KUOMBA MSAMAHA NA SASA AMEKUFA AMERUDIA TENA MCHEZO WAKE WA KUMNANGA!!!hakuna mtanzania mnafiki?
Kelele tu...bandiko la kipumbavu....
Toa sabab za kwann wasingetumbuliwa
Ndio nitakuelewa kuanzia huyo wa kwanza had mwisho
Unamaanisha mtoto wa marehemu?Hivi huyo mke wa balozi huyo kid anaishi nae na mumewe?
Alivyo kutongoza wewe ulimpa?Dikteta alikuwa akitongoza mtu akimkataa lazima amfukuze
Kwa kosa gani mkuu,?Kwa dr ave maria semakafu alistahili kufukuzwa
Sidhani mkuu umemsingizia hayati,ina maana hayati alimtongoza mpaka Huyo Dr semakafu?.Dikteta alikuwa akitongoza mtu akimkataa lazima amfukuze
Atapumzikaje na huko anaongoza malaika!Daah! Hata kabla ya Arobaini Haijaisha tutazijua rangi zotero za mwendazake.Jamani muacheni apumzike kwa amani huko aliko, maana Daaah!
umepita mle mle wala hujakosea mkuu,Dikteta alikuwa akitongoza mtu akimkataa lazima amfukuze
jiwe ndio ilikuwa tabia yake ata ukimtetea huwezi kupingana na ukweli kwamba alikuwa ana tongoza wakimkataa anawatumbua kwa vijisababu vya kizushi na kizandikiSidhani mkuu umemsingizia hayati,ina maana hayati alimtongoza mpaka Huyo Dr semakafu?.
Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe jamani.
Najaribu kuwaza wale waliokuwa wanamkubalia anawagongea wapi na Yale maulinzi aliyokuwa nayo,.jiwe ndio ilikuwa tabia yake ata ukimtetea huwezi kupingana na ukweli kwamba alikuwa ana tongoza wakimkataa anawatumbua kwa vijisababu vya kizushi na kizandiki
Alipewa uwaziri. Nasikia amezaa nae huyu mtoto mdogoIla Nyam-bura mzuri,mwendazake lazima alikomalia.
Kwani mke wa balozi ilikuwaje?
Sasa wewe unataka warudishwe au unataka nini. Unasema wametumbuliwa kimakosa wewe ni mamlaka gani hadi tuamini sababu unazotoa. Nyie ndio wale wanashangilia magufuli kufariki dunia wakidhani serikali yake imepinduliwa. Samia jana kakujulisheni yeye sio mtu wenu na serikali yake ni ileile ya ccm.1. Dr. Nyambura Moremi
View attachment 1755243
Alikuwa ndiye mkurugenzi wa maabara ya taifa na fya ya jamii.
Alitumbuliwa kipindi janga la corona limepamba moto kwa kisingizio kwamba alipima sampuli ya ndege aina ya kware, mbuzi na mapapai vikakutwa na virusi vya corona.
Kimsingi, Dr Nyambura hakuwa na kosa bali alitimiza wajibu wake wa msingi kwa uweledi kulingana na taaluma yake kwa kuripoti majibu kadri ya kipimo kilivyoonyesha.
Itakumbukwa ni katika kipindi hicho hayati magufuli alitaka kuaminisha dunia kwamba nchi yetu haina ugonjwa korona kwahiyo hakuwa tayari kusikia taarifa yoyote juu ya uwepo wa ugonjwa huo. Hata hivyo baadae iligundulika vipimo vilivyotumika kupima sampuli vilikuwa na kasoro, hivyo Dr Nyambura alitumbuliwa kimakosa.
2. Dr Mwele Ntuli Malecela
View attachment 1755245
Alikuwa ni mkurugenzi mkuu wa taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu(NIMR).
Kipindi kumeibuka na ugonjwa usiojulikana uliohusishwa na ugonjwa wa homa ya dengue jijini Dar es Salaam, Dr mwele chini ya taasisi aliyoiongoza(NIMR) walifanya utafiti wakagundua ni ugonjwa wa zika ndipo akatangazia umma ili watu wachukue tahadhari ya kujikinga na kujilinda dhidi ya ugonjwa huo. Lakini kitendo hicho kilionekana kuwa chukizo kwa hayati magufuli akaamua kumfukuza kazi huku akimtuhumu kwamba anatumiwa na mataifa ya nje (mabeberu kama alivyopendelea kuwaita) bila ushahidi wowote wa kuthibitisha kauli yake hiyo.
Hata hivyo inasadikika kuwa kutumbuliwa kwa Dr mwele ulikuwa ni mwendelezo wa chuki binafsi ya hayati magufuli na familia ya malecela kwani hapo kabla aliwahi kumfuta kazi ya ukuu wa mkoa mama yake mwele( anne kilango malecela) kipindi cha sakata la watumishi hewa.
3. Dr Ave Maria Semakafu
View attachment 1755246
Alikuwa naibu katibu mkuu wa wizara ya elimu, sayansi na teknolojia.
Alitumbuliwa kwa kosa la kutaka kuboresha elimu ambapo awali alitangaza kufuta mafunzo na ualimu wa cheti jambo ambalo hayati magufuli aliita ni uamuzi wa kipumbavu na baadaye akamfuta kazi.
Hata hivyo, Dr Semakafu alitumbuliwa kimakosa kutokana na sababu za kisiasa kwani kwa wakati huo kampeni zilikuwa zimepamba moto hivyo hayati magufuli alifikia uamuzi wa kumfukuza Dr Semakafu kama njia ya kujitafutia kura kwa wananchi ila suala la kuboresha elimu ni miongoni mwa sera zilizoko kwenye ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi(CCM) 2020-2025 ambayo hayati mwenyewe alizunguka kuinadi nchi nzima.
Umetumwa na mabeberu wewe. Nape mwingine au aliyezima bunge live?Binafsi katika watu ambao waliondoka kwenye ramani akaniuma Ni Nape Nnauye.
Huyu Jamaa ana kipaji Cha politics,Mama afanye Busara kumrudisha kwenye ramani,bado anahitajika.
Hivi Le Mutuz yupo kweli maana sijamsikia siku nyingiNa Le Mutuz kamnyima uteuzi.
Mwendazake noma sana
Una uhakika mwisho wa mwezi umefika?Not always!
Wewe umefanya mangapi yasiyofaa hapa duniani, mbona hujalipwa?
Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
Kwani aliowaacha kawaacha kwa amani?Daah! Hata kabla ya Arobaini Haijaisha tutazijua rangi zotero za mwendazake.Jamani muacheni apumzike kwa amani huko aliko, maana Daaah!