Hawa ni wachambuzi bora wa mpira kwa sasa Tanzania. Pongezi zao

Anapatikana tv au redio gan
 
Kuna jamaa yuko Magic anaitwa George kama sikosei dogo yuko vizuri.
 
Ni kipnd cha mpira tu... Wakat mechi zikiwa uwanjan ndo utamsikia mwalim kashaha akiwa na jease john au enok bwigane....

Samsung note7
 
osca oscA
mwl kashasha
maestro
eddo kumwembe

ova ....
 
Kuna wale waliokuwa wanatangaza times fm, akina Cliford Mario Ndimbo, Joseph Mwakasungura, nk.
Kipindi cha Dokodoko za Wizara ya Michezo.
 
Mwalimu Alex Kashasha, Haji Mwinyi alitaka kufanya nini pale?

Kashasha: Haji Mwinyi alikuwa na nia nzuri, lakini uwezo wake na alichotaka kukifanya haviendani, H Mwinyi lazima akubali uwezo wake bado mdogo na aache kulazimisha mambo. Kwako Jesse
Haa ha ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…