Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
-
- #81
Huna muda mrefu sana ndo maana anyway soon utakuwepoWe pancho boy Ina maana mi ndo sina kazi humu JF au unazuga[emoji23][emoji23]
[emoji38][emoji38][emoji38]Kwaiyo Mimi humu mbaka leo,sio maarufu?.
Wewe Mimi wananiita mzee wa threads ukiwauliza tu watakwambia Ila wengi wananijuaHuna muda mrefu sana ndo maana anyway soon utakuwepo
Bora umenisaida mkuu haha[emoji38][emoji38][emoji38]
Unaposts idadi Buku Mbili unataka uwe Maarufu, Watu wanapost Elfu Hamsini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38]
Unaposts idadi Buku Mbili unataka uwe Maarufu, Watu wanapost Elfu Hamsini
Jamani [emoji1787]Mbona umemuita mbishi mwenzio
Mimi nina upole gani?[emoji23][emoji23][emoji23]nursing inakufaa kweli kabisa we ni kapole
Ukali wako hata hauumizi ni wa kipole flaniMimi nina upole gani?
Mimi?Ukali wako hata hauumizi ni wa kipole flani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee wengine wanafanya kazi ya kubisha hahhaha
You're a Saint by nature I think you're name reflects your behavior[emoji23]Mimi?
Huo unesi umenipachika tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata shule sijaenda.
Hivi mimi ni mbishi???
Dr THOMASS SANKARA eti mimi ni mbishi?
Nini?[emoji16][emoji16]
Nini?
SafiMamboz