Hawa ni watoto wa Afrika Kusini, lakini kazi waliyoitoa ni ya kiwango cha nchi za Magharibi

Hawa ni watoto wa Afrika Kusini, lakini kazi waliyoitoa ni ya kiwango cha nchi za Magharibi

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
21,113
Reaction score
65,124
Kama wewe ni mfuasi wa muziki, basi utakubaliana na mimi kwamba hii kazi ni ya kiwango cha kimataifa (World Class).
Hawa ni watoto wa Afrika Kusini, lakini kazi waliyoitoa ni ya kiwango cha nchi za Magharibi,
Ubunifu wa mavazi, mazingira, mavazi na wimbo wenyewe vimebebana sana.
Hivi wasanii wetu huwa wanakwama wapi kutengeneza video nzuri hivi ?




Mkuu Eyce wewe mdau mzuri wa burudani, hebu tupe maoni yako juu ya hii ngoma
Mkuu joseph1989 wewe nawe mfuatiliaji mzuri wa burudani, hivi tunakwama wapi ???
 
Music industry ya Tanzania kwa sasa sio diverse sana sababu watu wengi wameshaaminishwa kuwa kuna type flani ya muziki ndio ipo vizuri which is wrong

Ukifuatilia muziki wa Maua sama ilikuwa sweet reggae nzuri sana na according to her zilimfanya hadi akate tamaa sababu hazikumpa mafanikio hadi alipotoa iokote "Afro Po" kama sijakosea, same as Navy Kenzo wanavyostruggle kwa sasa kutokana na soko lilivyo designed, its either ukubali au ukatae. Hiyo ndo fact kubwa

Kuhusu Videoz hiyo kitu ni obvious, Production houses tulizonazo hawawezi toa quality videoz compared na nchi kama South Africa, Nigeria na hata Kenya Tu. I remember Wakati wasanii wa Tz wakienda SA directors wa ndani walisema ni vifaa na location but now kuna Wanene na Kenny wana vifaa vyote na wanajitahidi but creativity ipo low..

Though hata hiyo video ya SA nayo concept yake ni overused na RnB iliyoimbwa humo sio kitu relevant kwa soko la bongo kwa sana so nimeongelea Generally.
 
Music industry ya Tanzania kwa sasa sio diverse sana sababu watu wengi wameshaaminishwa kuwa kuna type flani ya muziki ndio ipo vizuri which is wrong

Ukifuatilia muziki wa Maua sama ilikuwa sweet reggae nzuri sana na according to her zilimfanya hadi akate tamaa sababu hazikumpa mafanikio hadi alipotoa iokote "Afro Po" kama sijakosea, same as Navy Kenzo wanavyostruggle kwa sasa kutokana na soko lilivyo designed, its either ukubali au ukatae. Hiyo ndo fact kubwa

Kuhusu Videoz hiyo kitu ni obvious, Production houses tulizonazo hawawezi toa quality videoz compared na nchi kama South Africa, Nigeria na hata Kenya Tu. I remember Wakati wasanii wa Tz wakienda SA directors wa ndani walisema ni vifaa na location but now kuna Wanene na Kenny wana vifaa vyote na wanajitahidi but creativity ipo low..

Though hata hiyo video ya SA nayo concept yake ni overused na RnB iliyoimbwa humo sio kitu relevant kwa soko la bongo kwa sana so nimeongelea Generally.





Video ipi ya Kenya ni nzuri kuliko ya Tanzania
 
Hii nim
Kama wewe ni mfuasi wa muziki, basi utakubaliana na mimi kwamba hii kazi ni ya kiwango cha kimataifa (World Class).
Hawa ni watoto wa Afrika Kusini, lakini kazi waliyoitoa ni ya kiwango cha nchi za Magharibi,
Ubunifu wa mavazi, mazingira, mavazi na wimbo wenyewe vimebebana sana.
Hivi wasanii wetu huwa wanakwama wapi kutengeneza video nzuri hivi ?




Mkuu Eyce wewe mdau mzuri wa burudani, hebu tupe maoni yako juu ya hii ngoma
Mkuu joseph1989 wewe nawe mfuatiliaji mzuri wa burudani, hivi tunakwama wapi ???

nimeukubali 100 percent bonge la ngoma
 
Kama wewe ni mfuasi wa muziki, basi utakubaliana na mimi kwamba hii kazi ni ya kiwango cha kimataifa (World Class).
Hawa ni watoto wa Afrika Kusini, lakini kazi waliyoitoa ni ya kiwango cha nchi za Magharibi,
Ubunifu wa mavazi, mazingira, mavazi na wimbo wenyewe vimebebana sana.
Hivi wasanii wetu huwa wanakwama wapi kutengeneza video nzuri hivi ?




Mkuu Eyce wewe mdau mzuri wa burudani, hebu tupe maoni yako juu ya hii ngoma
Mkuu joseph1989 wewe nawe mfuatiliaji mzuri wa burudani, hivi tunakwama wapi ???

ahsante Sana mkuu kwa ngoma kali
 
Video ipi ya Kenya ni nzuri kuliko ya Tanzania

Sio competition ila kwa swali lako kaangalie Video za Enos Olik or CEDO

ukitaka mfano specific zaidi nitakupa video za Nyashski mfano Hayawani & Sauti sol Extravaganza.
Video concept, Quality ya picha na shots zipo vizuri.

Bongo kipindi cha benchmark tulikuwa the vizuri EA, zilipokuja enzi za Ogopa na Enos, wasanii wakakimbilia Kenya.. Mara Godfather na Justin Campos wakakimbilia SA..sasa hivi wamerudi home ila ukilinganisha ubora na enzi wanashoot nje. Ubora umeshuka so, hatupo pabaya ila kukaza buti muhimu
 
AK ni Muzungu country, sasa cha ajabu ni kipi hapo? Kila kitu AK ni first world standard, kuanzia University zao, Kampuni zao, miundo mbinu, skilled labor, n.k. ni first World, kwanza kitu pekee AK inacho-share na Afrika ni jiografia tu, kwanza hata wakati mwingine kuna snow wakati wa winter , ...
 
Music industry ya Tanzania kwa sasa sio diverse sana sababu watu wengi wameshaaminishwa kuwa kuna type flani ya muziki ndio ipo vizuri which is wrong

Ukifuatilia muziki wa Maua sama ilikuwa sweet reggae nzuri sana na according to her zilimfanya hadi akate tamaa sababu hazikumpa mafanikio hadi alipotoa iokote "Afro Po" kama sijakosea, same as Navy Kenzo wanavyostruggle kwa sasa kutokana na soko lilivyo designed, its either ukubali au ukatae. Hiyo ndo fact kubwa

Kuhusu Videoz hiyo kitu ni obvious, Production houses tulizonazo hawawezi toa quality videoz compared na nchi kama South Africa, Nigeria na hata Kenya Tu. I remember Wakati wasanii wa Tz wakienda SA directors wa ndani walisema ni vifaa na location but now kuna Wanene na Kenny wana vifaa vyote na wanajitahidi but creativity ipo low..

Though hata hiyo video ya SA nayo concept yake ni overused na RnB iliyoimbwa humo sio kitu relevant kwa soko la bongo kwa sana so nimeongelea Generally.
Eyce UISHI MILELE aisee! Umechambua mambo ambavyo tulikaa tukawa tunayazungumza juzi sehemu fulani hivi,
Watu ambao walikuwa na dhamana ya kulitanua soko la muziki kama marehemu Ruge waliliminya baadhi ya sehemu.
Kuna kipindi ikafika msanii akawa anatoa kazi mbovu, ubunifu sifuri lakini media kubwa zinambeba na anasikika sana.

Kusema Hip-Hop haiuzi Bongo zilikuwa ni cheap-propaganda ambazo watanzania walilishwa na kuziamini bila kufikiri,
Kitu ambacho watu wetu kwenye media walijisahau ni kwamba Genre za muziki huwa hazifi bali zina-evolve na muda,
Mfano Marekani ilianza Blues ambayo wakina Ma Rainey waliimba: Baadae ikazaa Jazz ambayo wakina Louis Armstrong na Alice Coltraine waliimba. Mwisho wa siku Jazz na Blues zikazaa RnB, Rock and Roll, ambayo leo hii imezaa Pop and EDM.

Hivyo nadhani huu mchezo ambao Cluods FM walituletea kwamba baadhi ya Genre haziuzi halikuwa sahihi sana,
West-Afrika wanafanya vizuri sana kimataifa kwasababu Industry yao iko Diverse. Ule ukanda peke yake ndiyo umetoa wasanii wakuba kila kizazi ambao wanatoka Genre tofauti: Ukianza na Fela Kuti, Angelique Kidjo, Salif Keita, Mory Kante, Youssou N'dour na leo hii wana Burna Boy, ASA, Timi Dakolo na Wiz-Kid.

Diversity brings Creativity, nadhani hili ni moja ya jambo kubwa ambalo Industry yetu imelisahau.
Kama tukiweza kurirekebisha basi naamini tutafika sehemu nzuri kwenye soko la kimataifa.
 
Kaka Eyce huyu ni Timi Dakolo wa Nigeria, anaimba Soul Muzik fused with Afro-Pop,
Sasa mtu kama huyu huwezi kusimama naye uwanja mmoja kwasababu yeye anaweza kushindana na watu wa nje.
Huu wimbo wake ni wa mwaka 2015 unaitwa WISH ME WELL, nadhani usikilize halafu utakubaliana na ninachosema.
 
Sio competition ila kwa swali lako kaangalie Video za Enos Olik or CEDO

ukitaka mfano specific zaidi nitakupa video za Nyashski mfano Hayawani & Sauti sol Extravaganza.
Video concept, Quality ya picha na shots zipo vizuri.

Bongo kipindi cha benchmark tulikuwa the vizuri EA, zilipokuja enzi za Ogopa na Enos, wasanii wakakimbilia Kenya.. Mara Godfather na Justin Campos wakakimbilia SA..sasa hivi wamerudi home ila ukilinganisha ubora na enzi wanashoot nje. Ubora umeshuka so, hatupo pabaya ila kukaza buti muhimu






Extravaganza imefanyika South Africa hiyo ya nyashinski sijui
 
Sio competition ila kwa swali lako kaangalie Video za Enos Olik or CEDO

ukitaka mfano specific zaidi nitakupa video za Nyashski mfano Hayawani & Sauti sol Extravaganza.
Video concept, Quality ya picha na shots zipo vizuri.

Bongo kipindi cha benchmark tulikuwa the vizuri EA, zilipokuja enzi za Ogopa na Enos, wasanii wakakimbilia Kenya.. Mara Godfather na Justin Campos wakakimbilia SA..sasa hivi wamerudi home ila ukilinganisha ubora na enzi wanashoot nje. Ubora umeshuka so, hatupo pabaya ila kukaza buti muhimu




Ubora upi umeshuka kwahiyo zamani ubora wa video ulikua juu kuliko Sasa basi turudishe zile camera za zamani tuzitumie

Tukirudi nyuma mtasema mbona mnarudisha tasnia nyuma wakati ilishafika mbali
 
Wazee wa western cape huko SA. Tafuta series moja inaitwa blood n water uyaone hayo uliyoyasemea ..
AK ni Muzungu country, sasa cha ajabu ni kipi hapo? Kila kitu AK ni first world standard, kuanzia University zao, Kampuni zao, miundo mbinu, skilled labor, n.k. ni first World, kwanza kitu pekee AK inacho-share na Afrika ni jiografia tu, kwanza hata wakati mwingine kuna snow wakati wa winter , ...
 
Eyce UISHI MILELE aisee! Umechambua mambo ambavyo tulikaa tukawa tunayazungumza juzi sehemu fulani hivi,
Watu ambao walikuwa na dhamana ya kulitanua soko la muziki kama marehemu Ruge waliliminya baadhi ya sehemu.
Kuna kipindi ikafika msanii akawa anatoa kazi mbovu, ubunifu sifuri lakini media kubwa zinambeba na anasikika sana.

Kusema Hip-Hop haiuzi Bongo zilikuwa ni cheap-propaganda ambazo watanzania walilishwa na kuziamini bila kufikiri,
Kitu ambacho watu wetu kwenye media walijisahau ni kwamba Genre za muziki huwa hazifi bali zina-evolve na muda,
Mfano Marekani ilianza Blues ambayo wakina Ma Rainey waliimba: Baadae ikazaa Jazz ambayo wakina Louis Armstrong na Alice Coltraine waliimba. Mwisho wa siku Jazz na Blues zikazaa RnB, Rock and Roll, ambayo leo hii imezaa Pop and EDM.

Hivyo nadhani huu mchezo ambao Cluods FM walituletea kwamba baadhi ya Genre haziuzi halikuwa sahihi sana,
West-Afrika wanafanya vizuri sana kimataifa kwasababu Industry yao iko Diverse. Ule ukanda peke yake ndiyo umetoa wasanii wakuba kila kizazi ambao wanatoka Genre tofauti: Ukianza na Fela Kuti, Angelique Kidjo, Salif Keita, Mory Kante, Youssou N'dour na leo hii wana Burna Boy, ASA, Timi Dakolo na Wiz-Kid.

Diversity brings Creativity, nadhani hili ni moja ya jambo kubwa ambalo Industry yetu imelisahau.
Kama tukiweza kurirekebisha basi naamini tutafika sehemu nzuri kwenye soko la kimataifa.
Daaah asee uyo ASA au Asha ni kwikwi, wengine wote wanasubiri..
 
Extravaganza imefanyika South Africa hiyo ya nyashinski sijui
brother naona umejiandaa kubisha ndio maana ukaquote mistake ambayo umeshindwa kuithibitisha..

Hiyo Extravaganza imeongozwa na Mkenya Mbithi Masya na kuhusu setting sijui japo ukiangalia ile skyline wakati video inaanza ni kama Nairobi. Wahusika wenyewe ni typical Kenyans na sio south Africans kama umezoea kuangali Content za Africa
 
Eyce UISHI MILELE aisee! Umechambua mambo ambavyo tulikaa tukawa tunayazungumza juzi sehemu fulani hivi,
Watu ambao walikuwa na dhamana ya kulitanua soko la muziki kama marehemu Ruge waliliminya baadhi ya sehemu.
Kuna kipindi ikafika msanii akawa anatoa kazi mbovu, ubunifu sifuri lakini media kubwa zinambeba na anasikika sana.

Kusema Hip-Hop haiuzi Bongo zilikuwa ni cheap-propaganda ambazo watanzania walilishwa na kuziamini bila kufikiri,
Kitu ambacho watu wetu kwenye media walijisahau ni kwamba Genre za muziki huwa hazifi bali zina-evolve na muda,
Mfano Marekani ilianza Blues ambayo wakina Ma Rainey waliimba: Baadae ikazaa Jazz ambayo wakina Louis Armstrong na Alice Coltraine waliimba. Mwisho wa siku Jazz na Blues zikazaa RnB, Rock and Roll, ambayo leo hii imezaa Pop and EDM.

Hivyo nadhani huu mchezo ambao Cluods FM walituletea kwamba baadhi ya Genre haziuzi halikuwa sahihi sana,
West-Afrika wanafanya vizuri sana kimataifa kwasababu Industry yao iko Diverse. Ule ukanda peke yake ndiyo umetoa wasanii wakuba kila kizazi ambao wanatoka Genre tofauti: Ukianza na Fela Kuti, Angelique Kidjo, Salif Keita, Mory Kante, Youssou N'dour na leo hii wana Burna Boy, ASA, Timi Dakolo na Wiz-Kid.

Diversity brings Creativity, nadhani hili ni moja ya jambo kubwa ambalo Industry yetu imelisahau.
Kama tukiweza kurirekebisha basi naamini tutafika sehemu nzuri kwenye soko la kimataifa.

shukrani brother , really humbled kwa compliment zako

Soko la bongo limekuwa rigid sana na kheri enzi hizo watu waliimba hip hop, Rnb , Zouk Rhumba, Takeu ya Nice, wale wa asili kama Saida na bado wakahit.
Kwa sasa kuna monotomy sana kiasi kwamba melodies, mashairi, beats na videoz zipo almost the same.

Hakuna creativity japo kuna wanaokomaa na Genre zao kama Barakah De prince lakini bado hawafikii mafanikio makubwa compared na wale wanaoimba soft porn plus beat zilizochangamka
 
Back
Top Bottom