Hawa ni watu maarufu duniani ambao viatu vyao vimekosa mvaaji

Hapo kwa Bob Male
nadhani umemsahau Lucky Dube alivivaa na vikamtosha kabisa sema wenye roho mbaya wanapitia kipindi cha pili dakika ya 89.5
Kuna watu wanakataa kuwa Lucy hakufikia hata half ya uwezo aliokuwa nao Bob
 
HIVYO VIATU VYAO EBU VILETENI NA MIMI NIVIJARIBU KAMA VIMEKOSA MTU WA KUVIVAA.
 
Steven kanumba- filamu
Diamond platnum- muzik
Bwana yule- Siasa
Luckdube- reggae
Mwamposa- upigaji/utapel wa dini
Babu wa loliondo- upigaji
Mwamposa kavaa viatu vya Kakobe ila sasa miguu imezidi saiz hadi visigino na vidole vya mbele vinachungulia nje πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Na mimi viatu vyangu vimekosa wa kumuenea. Nimeamua nibaki navyo mwenyewe.
 
Na mimi viatu vyangu vimekosa wa kumuenea. Nimeamua nibaki navyo mwenyewe.
Vilete kwangu kama vijakutana na guu over size kudadeki zake πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Nelson Mandela
Mother Theresa
Desmond Tutu
Pope Paul ii
Dalai Lamar
Nelson Mandela anatosha, tutu anaweza kuwa amejaribu kuvaa viatu vya Mandela kwa namna fulan, ila vidole havikufika mwisho. Havikumuwenea vizuri. Wengine ulioandika swadakta.
 
Hakuna kitu hapo, mtu pekee viatu vyake hsvina mvaaji ni JPM tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…