Hawa ni watu mashuhuri waliofariki lakini bado wanaishi midomoni mwa watu

Hawa ni watu mashuhuri waliofariki lakini bado wanaishi midomoni mwa watu

Kunamuda huwa naona Mandela yupo overrated
Tatizo watu wengi humuangalia Mandela kutoka alivyofungwa gerezani mpaka alivyokuwa rais na kustaafu.

Hawaangalii historia ya Mandela kabla ya kufungwa, watu wengi wanamdogosha Mandela wakati hata hawajui The Rivonia Trial ni nini.
 
Mwl Nyerere philosopher

Nelson Mandela -Politician and activist

Bob Marley , Muimbaji wa Reggie

Mohammed Ali, boxer

Malcolm X -Mwanamapinduzi

Martin Luther king Jr - Activist

2 PAC - huyu ni msanii wa hip hop

BIG notorious - Artist .
Bila Mzilankende Kumtaja ?
 
AI Capone the scarface himself!
Kudadadadadadeki
Kuna huyu Adolf Hittler
Wapi king Haile Selassie majest rasta bomboclat!!!!
Hatari sana Kinjeketile ngwale!
 
Back
Top Bottom