Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikufa kwa kupigwa risasi December 2/1993Hivi Pablo Escobar ameshakufa?
Na wamarekani sioAlikufa kwa kupigwa risasi December 2/1993
Mfalme Mangungo wa Msovelo - "Role Model" & Baba wa fikra za kijima za CCMMwl Nyerere philosopher
Nelson Mandela -Politician and activist
Bob Marley , Muimbaji wa Reggie
Mohammed Ali, boxer
Malcolm X -Mwanamapinduzi
Martin Luther king Jr - Activist
2 PAC - huyu ni msanii wa hip hop
BIG notorious - Artist .
Jiz
Inategemea wanaishi midomoni mwa watu gani. Kwa mfano kuna kijana Niels Henrik Abel alikufa kwa ugonjwa wa TB akliwa na miaka 27 tu, na watu wengi hapa huenda hata hawamajui, lakini jina lake linajulikana sana kwenye dunia ya Mathematics. Abelian Groups zinazojenga msingi wa mahesabu karibu yote ya kihandisi na kihasibu na yanatokana zinatokana naye. Ni wahandisi wachache sana na huenda hakuna mhasibu hata mmoja anayejua jina la Niels Henrik Abel ispokuwa wale waliokwenda digrii za juu na wanahisababati tuMwl Nyerere philosopher
Nelson Mandela -Politician and activist
Bob Marley , Muimbaji wa Reggie
Mohammed Ali, boxer
Malcolm X -Mwanamapinduzi
Martin Luther king Jr - Activist
2 PAC - huyu ni msanii wa hip hop
BIG notorious - Artist .
Aliuwawa na police wa taifa la Colombia siku moja baada ya kusheherekea siku yake ya kuzaliwa.Na wamarekani sio
John Pombe MagufuliMwl Nyerere philosopher
Nelson Mandela -Politician and activist
Bob Marley , Muimbaji wa Reggie
Mohammed Ali, boxer
Malcolm X -Mwanamapinduzi
Martin Luther king Jr - Activist
2 PAC - huyu ni msanii wa hip hop
BIG notorious - Artist .
Kunamuda huwa naona Mandela yupo overrate
Wenye mimba yake wanapita kimya kimyaJohn Pombe Magufuli
Ukikataa una mimba yake