Tatizo watu wengi humuangalia Mandela kutoka alivyofungwa gerezani mpaka alivyokuwa rais na kustaafu.Kunamuda huwa naona Mandela yupo overrated
βοΈJustice for Asimwe#Mwl Nyerere philosopher
Nelson Mandela -Politician and activist
Bob Marley , Muimbaji wa Reggie
Mohammed Ali, boxer
Malcolm X -Mwanamapinduzi
Martin Luther king Jr - Activist
2 PAC - huyu ni msanii wa hip hop
BIG notorious - Artist .
JPM umemsahau kwa kumsema vibaya (anasingiziwa tu)Mwl Nyerere philosopher
Nelson Mandela -Politician and activist
Bob Marley , Muimbaji wa Reggie
Mohammed Ali, boxer
Malcolm X -Mwanamapinduzi
Martin Luther king Jr - Activist
2 PAC - huyu ni msanii wa hip hop
BIG notorious - Artist .
βοΈJustice for Asimwe#
Bila Mzilankende Kumtaja ?Mwl Nyerere philosopher
Nelson Mandela -Politician and activist
Bob Marley , Muimbaji wa Reggie
Mohammed Ali, boxer
Malcolm X -Mwanamapinduzi
Martin Luther king Jr - Activist
2 PAC - huyu ni msanii wa hip hop
BIG notorious - Artist .
Jembe/Magufuli/Bulldozer/Chuma/Komando- Hayati na Raisi wa JMT 2015-2021..
#Ashukuriwe means Asimwe in Swahili.
Mimi naamini Adhabu ya Mungu itatoa haki
Amekufa kimwili lakini nafsi bado ipo haiHivi Pablo Escobar ameshakufa?
Jamaa alikuwa hatari sana kuwa kutokeaAmekufa kimwili lakini nafsi bado ipo hai
Rudisha Ile avatar yakoWaooooo!!!!!
Jina lake ni kubwa sanaJamaa alikuwa hatari sana kuwa kutokea
Bado anaishiHivi Pablo Escobar ameshakufa?
Duh. Hiyo history nyingine hiyo. Hivi hapa bongo alishatokea wa kaliba hiyo?Bado anaishi
Siku aliyozaliwa ndio Siku aliyokufa
Alishakufa kitambo tu,ilikua December 1993 akiwa na umri wa miaka 44Hivi Pablo Escobar ameshakufa?
HakunaDuh. Hiyo history nyingine hiyo. Hivi hapa bongo alishatokea wa kaliba hiyo?
πππRudisha Ile avatar yako