Duh....ndugu yangu KK na mimi hawawezi aslan kutula....hiyo sura tu wataingia mitini wenyewe.....(lol)...lakini wakina PRETA buchani mojakwamoja
preta ndo kashikilia :A S-heart-2:katika kisosi akikibetua nimekufa!!
hili li thread linarudiwarudiwa mpaka inaboa sasa!
Jaman eh hawa watu ni kabila gani? at least mtu aseme.
uwa nawapenda sana na life lao!!hawa hawajachakachuliwa na uzungu
wagumu kwelikweli