Hawa nika bila la wapi??

Hawa nika bila la wapi??

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
77170_126450954082359_100001523653617_166756_471535_n[1].jpg
 
hiyo mkuu ni kwenye pasific islands ..............try solomon islands utawakuta
 
Hawa ni watu wa PAPUA NEW GUINEA.

Ni moja ya makabila yanayoogopwa kwa Ulaji wa watu (Akina Rama wala watu).

Msiwachekee hawa, ukifika kwao wewe ni Nyama ya Mshikaki au Kiti moto pori.

Wanavaa Original Vuvuzela......

Origin-of-the-vuvuzela.jpg
 
Hawa ni watu wa PAPUA NEW GUINEA.

Ni moja ya makabila yanayoogopwa kwa Ulaji wa watu (Akina Rama wala watu).

Msiwachekee hawa, ukifika kwao wewe ni Nyama ya Mshikaki au Kiti moto pori.

Wanavaa Original Vuvuzela......

Mkulu tungo na akili moja!!!!!!!
 
Papua New Guinea....wanakulaga watu

Naomba kuelimishwa zaidi, wanakula wageni wanaokatiza au hata wenyewe kwa wenyewe? Ina maana hawajui kutembelewa? Wanakula mtu aliyejifia mwenyewe au ni mwendo wa kuwindana kama swala?
 
Nilikuwa na rafiki wa karibu kutoka PNG ....................sikumuona na dalili za kula watu au ndo wamjini wamestaarabika?
 
Nimeipenda hiyo hifadhi yao maana muda wote inabidi kitu iwe attention la sivyo inachomoka.
 
Duh....ndugu yangu KK na mimi hawawezi aslan kutula....hiyo sura tu wataingia mitini wenyewe.....(lol)...lakini wakina PRETA buchani mojakwamoja

preta ndo kashikilia :A S-heart-2:katika kisosi akikibetua nimekufa!!
 
Back
Top Bottom