Hawa Nitarejea wa Diamond yupo hoi kitandani, anaomba msaada wa kusaidiwa

Siku nikitoa hela Yangu kumsaidia msanii ambae alikuwa na uwezo Wa kufungua bima ya afya, naomba siku hiyo nipigwe viboko mwaka mzima.
Uyasemayo leo hata wenzio waliopatwa na maradhi yenye kuwatesa leo waliwaambia wengine wakati wa afya njema zao,kumbuka maradhi ni ibada kwa mwanadamu hata unapotoa maneno makali na dhihaka yapime na yatoe kwa kiasi binadamu ni dhaifu sana kwa mola wake huijui dakika wala saa ya mbele yako uzima na pumzi ulizopewa bure zisikupe kiburi.
 
Hali sio nzuri kwa kweli!
Nimeandika na kufuta kama mara sita hivi.....
 
Life has a lot of options! Within the options, problems are part of the package as well. Amongst the best is to opt 'safe/healthy life style''.

Pole sana dada Hawa. Hiyo ni mitihani ya Dunia, na kila mtihani una majibu. Kila mmoja wetu aliye hai hatujuwi kesho yetu, hatujuwi our destiny. As humans, we are all unaware of our end-results.

Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi kwenye maradhi yako... inshaAllah.

Tumchangie chochote kile.

-Kaveli-
 
Nawaomba wasanii kwa umoja wetu tumchangie msanii mwenzetu bi hawa anaumwa Ini limevimba.Msanii huyu ndie yule aliyeimba na Msanii Diamond wimbo uitwao Nitarejea .Msanii Hawa amelazwa Hospital ya Muhimbili
 
Ungejitambulisha ww ni msanii gn ili followers wako wakuunge mkono
 
Nawaomba wasanii kwa umoja wetu tumchangie msanii mwenzetu bi hawa anaumwa Ini limevimba.Msanii huyu ndie yule aliyeimba na Msanii Diamond wimbo uitwao Nitarejea .Msanii Hawa amelazwa Hospital ya Muhimbili
mungu amjalie AFYA iliyo njema inshaalllah
 
wasanii wengi wapumbavu sana akiwepo na huyo Hawa, pombr kali tena mwanamke na ana mtoto anategemea nini, hajali malezi na carrier yake, hakujali kujitunzia heshima, leo hii analia lia, sijui kwa nini huwa hawajifunzi. Mwanamke gani anakesha bar analewa pombe kali, anavuta bangi/madawa ya kulevya leo hii anakaa anaomba kuhurumiwa, kwa wenye roho ngumu kama mimi huwa tunaishia kusema Mungu amrehemu na amsaidie kadri apendavyo Yeye
 
Mtoa mada ungejitambulisha vizuri tukakuelewa baada ya hapo utupe taratibu za kumchangia
 
Nnavyojua huyu alikua ni demu wa mond kipindi kile akaja kuwa mlevi na mtumiaji wa drugs! WCB wasijiweke pembeni ktk hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…