gonamwitu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 2,187
- 2,794
Hakuna mchezaji mzuri na mkubwa anayeweza kuikataa Simba au yanga hakuna.
FACT:
1.Jonathan sowah:baada ya kwenda uarabuni na kuflop singida ndio wakamsajili akiwa flop.
2.Victorien adebayor:baada ya kuchemka huko uarabuni na kuishiwa kabisa na kubaki garasa singida ndio wakamsajili.
3.Sergie pokou:kaenda al hilal kachemka baada ya kukutana na mwamba wa kinyarwanda giremugisha singida ndo wakamsajili.
swali la msingi:
»Trabi anaweza kumuweka benchi job?
»kened juma anaweza kumuweka benchi hamza?
»metacha anaweza kumuweka benchi musa camara au diara?
»imoro anaweza kumuweka benchi zimbwe? Au yao yao?
»and kofi anaweza kumuweka benchi kapombe?
»kayeke anaweza kumuweka benchi mzinze au pacome?
»tchakei na max unamchukua nani?
TRUTH:
Tchakei na elvis rupia tu ndo wanaweza kuzima simba na yanga first 11 tena tchakei yanga anaweza kusubiri vile vile.
FACT:
1.Jonathan sowah:baada ya kwenda uarabuni na kuflop singida ndio wakamsajili akiwa flop.
2.Victorien adebayor:baada ya kuchemka huko uarabuni na kuishiwa kabisa na kubaki garasa singida ndio wakamsajili.
3.Sergie pokou:kaenda al hilal kachemka baada ya kukutana na mwamba wa kinyarwanda giremugisha singida ndo wakamsajili.
swali la msingi:
»Trabi anaweza kumuweka benchi job?
»kened juma anaweza kumuweka benchi hamza?
»metacha anaweza kumuweka benchi musa camara au diara?
»imoro anaweza kumuweka benchi zimbwe? Au yao yao?
»and kofi anaweza kumuweka benchi kapombe?
»kayeke anaweza kumuweka benchi mzinze au pacome?
»tchakei na max unamchukua nani?
TRUTH:
Tchakei na elvis rupia tu ndo wanaweza kuzima simba na yanga first 11 tena tchakei yanga anaweza kusubiri vile vile.