MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Hawa ni watu ambao uchekeshaji sio kazi yao rasmi ila kila wanapoongea mbele za watu au kwenye mahojiano hawaachi kuwavunja watu mbavu.
1. Mheshimiwa Makongoro Nyerere
2. T.I.D
3. Ommy Dimpoz
4. Mheshimiwa Kishimba
5. Babalevo
6. Mheshimiwa Kibajaji
7. Mwijaku
8. Komredi Godbless Lema
9. Mheshimiwa Bwege
Ongezea.Hawa ni watu ambao uchekeshaji sio kazi yao rasmi ila kila wanapoongea mbele za watu au kwenye mahojiano hawaachi kuwavunja watu mbavu.
1. Mheshimiwa Makongoro Nyerere
2. T.I.D
3. Ommy Dimpoz
4. Mheshimiwa Kishimba
5. Babalevo
6. Mheshimiwa Kibajaji
7. Mwijaku
8. Komredi Godbless Lema
9. Mheshimiwa Bwege
Apo ni kama unajitekenya mwenyewe alafu unacheka.COMEDIAN NI YESU TU UKIWA NA HUZUNI ANAKUCHEKESHA HUKU HATA HUMUONI HAKIKA YEYE NI BABA WA WENYE HUZUNI
mbona sasa nasikia kwa watu ati ulimsaritiCOMEDIAN NI YESU TU UKIWA NA HUZUNI ANAKUCHEKESHA HUKU HATA HUMUONI HAKIKA YEYE NI BABA WA WENYE HUZUNI
Picha mkuuCOMEDIAN NI YESU TU UKIWA NA HUZUNI ANAKUCHEKESHA HUKU HATA HUMUONI HAKIKA YEYE NI BABA WA WENYE HUZUNI
Kwa pumba anazoongea Lema lazima ucheke tu.ulivokua mjinga Godbless Lema unamuweka kundi la comedy.alivokwambia bodaboda ni tatizo kwa taifa kwa hiyo wewe ulicheka ulivo bwege
MakongoroHawa ni watu ambao uchekeshaji sio kazi yao rasmi ila kila wanapoongea mbele za watu au kwenye mahojiano hawaachi kuwavunja watu mbavu.
1. Mheshimiwa Makongoro Nyerere
2. T.I.D
3. RC Chalamila
4. RC mstaafu Aggrey Mwanri
5. Ommy Dimpoz
6. Mheshimiwa Kishimba
7. Babalevo
8. Mheshimiwa Kibajaji
9. Mwijaku
10. Komredi Godbless Lema
11. Mheshimiwa Bwege
12. Mchungaji Mgogo
13. Mchungaji Hananja
Unajiona mjanjaCOMEDIAN NI YESU TU UKIWA NA HUZUNI ANAKUCHEKESHA HUKU HATA HUMUONI HAKIKA YEYE NI BABA WA WENYE HUZUNI
Umemsahau msukuma.Hawa ni watu ambao uchekeshaji sio kazi yao rasmi ila kila wanapoongea mbele za watu au kwenye mahojiano hawaachi kuwavunja watu mbavu.
1. Mheshimiwa Makongoro Nyerere
2. T.I.D
3. RC Chalamila
4. RC mstaafu Aggrey Mwanri
5. Ommy Dimpoz
6. Mheshimiwa Kishimba
7. Babalevo
8. Mheshimiwa Kibajaji
9. Mwijaku
10. Komredi Godbless Lema
11. Mheshimiwa Bwege
12. Mchungaji Mgogo
13. Mchungaji Hananja