Mkuu hawa madogo wanahitaji, hebu soma signecha yangu.......!
Siyo siri hawa madogo na mathread yao sijui mama mkwe ananitaka, sijui wanawake wote wa mjini wametoa mimba, sijui jinsi ya kumpata demu wa kichaga et el wanaboa sana.
Jukwaa la watoto ni wazo jema Naunga mkono hoja.
Mjukuu umenena vema. Ntakutafutia zawadi.
Wenyewe kila siku kulalamika tu demu anakunywa bia ya bei mbaya,anakuja na marafiki,hapokei simu,anaringa yaani taabu tupu kama hela haitoshi si uniombe mimi baba yako sijui wanatuita 'dingi'.
Ngoja niiweke hapa, manake huchelewi kudiliti wewe!<LI id=post_1509647 class="postbitlegacy postbitim postcontainer">
duuhh namie nasubiria ya pili iwe yangu lol
duuhh namie nasubiria ya pili iwe yangu lol
Babu unajua misa hakuna jumapili hii
kwa sababu mchungaji yuko jela..
sijua kafanya kosa gani lakini
nimeona :ban: kwenye jina lake ..
nimesha ki miss Rev wetu...
Hahahaha...we ulie tu, hiyio ya kwangu nimeiomba kwa mwezi mzima...lol
Ngoja niiweke hapa, manake huchelewi kudiliti wewe!<LI id=post_1509647 class="postbitlegacy postbitim postcontainer">
Acha wivu mdogo wangu Laway!
Mchungaji yuko jela? OMG! Kafanya nini yailah?
Nimeitoa kwa moyo tena safi sitadelete
Babu unajua misa hakuna jumapili hii
kwa sababu mchungaji yuko jela..
sijua kafanya kosa gani lakini
nimeona :ban: kwenye jina lake ..
nimesha ku miss Rev wetu...
Na hayo yote, babu anayaweka moyoni mwake kwa amani, upendo na furaha!
Jamani hamna watoto nyie mnaojiita watu wazima?Na watoto wenu huwa hamuwapi uhuru wa kutoa mawazo yao katika mambo mbalimbali ya familia?Kwangu mimi naona tuwape nafasi na wala haina haja ya kuwabagua,cha msingi wanapokosea tunawarekebisha na maisha yanaendelea,tukiwatenga hawataweza kupata mawazo,changamoto na hekima zetu amabzo wanazihitaji sana
Mmmmhh pole labda kaharibu!!!
Wakuu wa jukwaa hili kuna hawa vijana wadogo anda 18 ambao wamevamia jukwaa hili miezi ya karibuni naona tuwaombe Mods wawafungulie jukwaa la watoto la sivyo hatutaelewana hapa,wenyewe kila kukicha demu wangu kafanya hivi,sijui shori kafanyaje mpaka kina dada wanakosa amani hapa.Mapendekezo mengine yanakaribishwa.
Mmmmhh pole labda kaharibu!!!