Hawa 'under 18' tuwafanyeje?


You deserve my first thanks here it is

The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:

Desidii (Today)​
 
Mjukuu umenena vema. Ntakutafutia zawadi.

mmhhhhh
babu naona leo umeamkia upande wa kulia wa kitanda...
na malapa uliya kuta hapo chini mbwa hakuyavuta
kwani nimeona jinsi ulivyo tutetea wajuukuu wa kike
mmhh asante sana babu Ubarikiwe dear..
mmmmwwwwwaaaaaahhhh:angel:
 
You deserve my first thanks here it is

The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:

Desidii (Today)​

Ngoja niiweke hapa, manake huchelewi kudiliti wewe!<LI id=post_1509647 class="postbitlegacy postbitim postcontainer">
 
Wenyewe kila siku kulalamika tu demu anakunywa bia ya bei mbaya,anakuja na marafiki,hapokei simu,anaringa yaani taabu tupu kama hela haitoshi si uniombe mimi baba yako sijui wanatuita 'dingi'.

Mi mwenyewe nimeshtuka na kuwaza nini kimetokea siku za karibuni>?
 
Ngoja niiweke hapa, manake huchelewi kudiliti wewe!<LI id=post_1509647 class="postbitlegacy postbitim postcontainer">

Babu unajua misa hakuna jumapili hii
kwa sababu mchungaji yuko jela..
sijua kafanya kosa gani lakini
nimeona :ban: kwenye jina lake ..
nimesha ku miss Rev wetu...
 
Babu unajua misa hakuna jumapili hii
kwa sababu mchungaji yuko jela..
sijua kafanya kosa gani lakini
nimeona :ban: kwenye jina lake ..
nimesha ki miss Rev wetu...


Mchungaji yuko jela? OMG! Kafanya nini yailah?
 
Babu unajua misa hakuna jumapili hii
kwa sababu mchungaji yuko jela..
sijua kafanya kosa gani lakini
nimeona :ban: kwenye jina lake ..
nimesha ku miss Rev wetu...

Mmmmhh pole labda kaharibu!!!
 

Nyumbani watu wazima wanapoongea mambo yao ya kiutu uzima watoto huwa wanaambiwa waende nje kucheza michezo yao. Naunga mikono hoja. Tuwe na jukwaa la watoto ili mambo yao ya kitoto waongelee huko na wazazi mara moja moja tutalitembelea jukwaa lao kuwapa ushauri nasaha inapobidi.
 

Ndugu yangu, hao sio watoto. Ni watu wazima walioshindwa kura za maoni CCM. Wengine ni wale wanaosubiri kuteuliwa ukuu wa wilaya na mikoa. Wanasiasa wakikosa kazi, tabia zao kama watoto tu. Wee subiri Rais atangaze vyeo vyote, upuuzi huu utapungua sana. Kuna mmoja namjua alikuwa mgombea ubunge jimbo moja Kigoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…