Hawa viongozi walipanga kuliaangamiza taifa la Israel

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Matamshi ya kutaka kuliaangamiza taifa la Israel hayakuanza Leo. Viongozi wengi Wamefanya hivyo tangu zamani.

Baadhi ya hao viongozi ni

1) Pharaoh
2) Haman
3) Nebuchadnezzar
4) Belshazzar
5) Sennacherib
6) Saddam Hussein
7) Ahmadenajad
8) Raisi
9) Adolf Hitler
10) Iddi Amin

Pamoja na hayo yote Israel bado IPO
 
Kinachikusumbua ni akilia yako ilitolewa na walokole na kubakiwa na fuvu tu.
 
Unafikiri kwa Nini taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948,kabla ya hapo kulikua na taifa gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…