MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Clouds wakiipata taarifa hii watachukia sana...Mungu ambariki mtoto wa Tandale, matibabu mema Hawa
niko namshughurikia now kwenda india kutibiwa... ila sikutaka kutangaza coz staki watu wachukulie msaada wangu ni kiki...but kwakuwa maswali yamekuwa mengi juu yake, imebidi nijibu... na matibabu yake si chini ya milioni 50 na nitadeal nayo tu!👍🏼 Nassary on Twitter— Chibu Dangote (@diamondplatnumz) September 28, 2018
Acha wivu wa kike hata kwa wagonjwa.Hongera zake kwa msaada.... lakini mwisho wa siku Hawa alitumia madawa kwa utashi wake, hata angempotezea sioni kama kuna shida hapo. Kila mtu awajibike na maisha anayochagua
umenena vyema, ila kuna jirani yangu mwanaye alikuwa mwizi kupindukia (alikuwa anaitwa mama genai) siku moja mwanaye alipgwa hoi jeshi la polisi likamuokoa, mimi nilimsindikiza mama mzazi kwenda kumuona mwizi aliyepgwa hospitali, nkamwambia mama tunachofanya ni kupingana na jamii kwani ni mwizi ukiingia kwenye 18 zake anaweza kukutoa uhai, majibu aliyonipa mama ndo nataka nkushirikishe wewe, aliniambia hivi,Hongera zake kwa msaada.... lakini mwisho wa siku Hawa alitumia madawa kwa utashi wake, hata angempotezea sioni kama kuna shida hapo. Kila mtu awajibike na maisha anayochagua
KUTOA NI MOYOMwenyezi Mungu ni mkubwa na amjalie Naseeb baraka kubwa kubwa na ndogo ndogo [emoji1488]
HUU NDIO UZALENDOSafi sana CHIBU DANGOTE,mimi ni mkweli sina chuki na dimondi akifanya mazuri tunasifia akifanya ya hovyo tunatoa ushauri na maoni pia.