Hawa wabadhirifu wanaolalamikiwa na Rais pamoja na Wabunge ni akina Nani?

Hawa wabadhirifu wanaolalamikiwa na Rais pamoja na Wabunge ni akina Nani?

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Napenda Kujua hawa wanaolalamikiwa ni akina Nani maana.
1. CCM wote wanalalamika.
2. Rais analalamika.
3. Mawaziri wanalalamika.
4. Wananchi wanalalamika.
5. Wabunge wote wanalalamika.

Yaani Kila mtu anapiga kelele wakamatwe wakamatwe, kwani hao wezi wa Mali zetu ni wa nchi gani?
 
Napenda Kujua hawa wanaolalamikiwa ni akina Nani maana.
1. CCM wote wanalalamika.
2.Raisi analalamika.
3. Mawaziri wanalalamika.
4. Wananchi wanalalamika.
5. Wabunge wote wanalalamika.

Yaani Kila mtu anapiga kelele wakamatwe wakamatwe, kwani hao wezi wa Mali zetu ni wa nchi gani?
Kulalamika ni lifestyle ya Watanzania wengi mkuu.

Ni aina fulani ya kuridhisha watu kwamba hatupendi wizi, wakati kikweli hatujali.

Hususan viongozi, lakini hata wananchi wa kawaida pia.
 
kila mtu anajinusa.

Just imagine raisi wa nchi naye analalamika.

HUYO BIBI ATOKE MADARAKANI HATUWEZI TUKAWA NA RAIHISI KWA JINSIA YAKE ETI MAMA,MAMA,MAMA.

ATUNAHITAJI MTU MWENYE MAAMUZI YA KIUONGOZI NA SIYO TAKATAKA
 
Napenda Kujua hawa wanaolalamikiwa ni akina Nani maana.
1. CCM wote wanalalamika.
2.Raisi analalamika.
3. Mawaziri wanalalamika.
4. Wananchi wanalalamika.
5. Wabunge wote wanalalamika.

Yaani Kila mtu anapiga kelele wakamatwe wakamatwe, kwani hao wezi wa Mali zetu ni wa nchi gani?
unafik2 yan hii nchi bwana mwizi wa kuku anasota jera lakn mwizi wa pesa za uma analalamikiwa
 
kila mtu anajinusa.

Just imagine raisi wa nchi naye analalamika.

HUYO BIBI ATOKE MADARAKANI HATUWEZI TUKAWA NA RAIHISI KWA JINSIA YAKE ETI MAMA,MAMA,MAMA.

ATUNAHITAJI MTU MWENYE MAAMUZI YA KIUONGOZI NA SIYO TAKATAKA
Acha dharau dogo
 
Maana yake mawaziri, wakurugenzi wa mashirika, vyombo vya ulinzi na kwenye kila idara viongozi wakae na watu wao wale kisayansi sio kilafi kama fisi(ingawa kuna madai yasiyothibitishwa kuwa kuna chama cha siasa kina Vinasaba na huyu mnyama kitabia.)
 
Sasa kama polisi nao wamepiga irakuwaje hapo?
 
kila mtu anajinusa.

Just imagine raisi wa nchi naye analalamika.

HUYO BIBI ATOKE MADARAKANI HATUWEZI TUKAWA NA RAIHISI KWA JINSIA YAKE ETI MAMA,MAMA,MAMA.

ATUNAHITAJI MTU MWENYE MAAMUZI YA KIUONGOZI NA SIYO TAKATAKA
Ukishindwa kumuheshimu kama Rais basi at least muheshimu kama mama.

Hizi ni tabia za vijana wa hovyo waliozaliwa guest wasiowajuwa hata baba zao ndio hukosa adabu namna hii kama Limdude la Chadema.
 
Napenda Kujua hawa wanaolalamikiwa ni akina Nani maana.
1. CCM wote wanalalamika.
2.Raisi analalamika.
3. Mawaziri wanalalamika.
4. Wananchi wanalalamika.
5. Wabunge wote wanalalamika.

Yaani Kila mtu anapiga kelele wakamatwe wakamatwe, kwani hao wezi wa Mali zetu ni wa nchi gani?
Tulijuwa hao wezi na wabadhirifu wameacha kumbe KASI IMEZIDI! ENOUGH IS ENOUGH. Kuna faida gani ya MATOZO na kukusanya Kodi huku wachache wakizitafuna mchana mchana?!🙁😠😡🤬
 
Back
Top Bottom