Hawa Wabunge wasio na chama wapo Bungeni kwa sheria ipi? Nani anawalipa?

Hawa Wabunge wasio na chama wapo Bungeni kwa sheria ipi? Nani anawalipa?

Ndugai ni wa kuchunga sana, maana hao wengi wao ni wake za watu yeye sijui anapata faida ipi kwa kuwabeba hivyo!!

Hii ni auditing query!! Takukuru kazi hiyo!!
 
Viongozi Na Elimu Huku Sheria Zinazowaongoza Zipo
Wanafanya Watakavyo. Bado Tupo Mbali.
Wanaotakiwa Kufungwa Ni Top Layers Serikalini
Tumuombe mungu hao washetani wafungiliwe mbali
 
Hivi kwamfano rais wa sasa anaweza kumuamuri spika kuwaondoa hao wabunge kwa kukosa sifa?
Wala hili sio swala kumgonja Rais bali mamlaka mbali mbali za serikali zina uwezo wa kufanya hivyo hata wewe leo ukienda mahakamani kuomba tafsiri kuhusu maana halisi ya nani anastahili kuitwa Mbunge ...mahakama itakupa tafsiri na ukiipeleka bungeni wanaondoka asubuhi na mapema...
 
Wala hili sio swala kumgonja Rais bali mamlaka mbali mbali za serikali zina uwezo wa kufanya hivyo hata wewe leo ukienda mahakamani kuomba tafsiri kuhusu maana halisi ya nani anastahili kuitwa Mbunge ...mahakama itakupa tafsiri na ukiipeleka bungeni wanaondoka asubuhi na mapema...
Ubarikiwe sana mkuu
 
Hivi CAG hawezi kwenda huko kututafutia matumizi yanayotokana na kulipwa wabunge halafu atumbie hivi... TSHS. BILIONI KADHAA, ZIMETUMIKA NA BUNGE KUWALIPA WATU WASIO WABUNGE.... ??
 
Ile ni Misukule ya Mwenda na Ndugai ni lazima sasa ijulikane imeingiaje yarabi.
 
Mimi niruke swali la kwanza lakini la pili ni rahisi tu nafiri lina 'maksi' chache sana. Wanalipwa kawaida tu kama wengine wote kupitia kodi za wavuja jasho na kwa hivyo, inatakiwa watimize majukumu yao vyema waliyotumwa.
 
WABUNGE WALIOJIPELEKA BUNGENI NANI ANAWALIPA?

Na Elius Ndabila
0768239284

Jana baada ya Mchango wa Mhe Halima Mdee Bungeni ambao binafsi niliupenda sana kutokana na umahili wake wa kujenga hoja, baadae alisimama Mhe Kunambi na Mhe Jerry Silaa ambao ni Wabunge wa CCM kujaribu kupinga hoja zake.

Mhe Silaa akiwa anaenda kuhitimisha hoja yake alisema kuna Wabunge wapo Bungeni hata vyama vyao vinawakana. Hapa ndipo nitajenga msingi wa hoja yangu.

Turudi kidogo nyuma kwa maana ya misingi ya kisheria inayoongozwa na sheria Mama ambayo ni Katiba ya JMT. Kwa mjibu wa Ibara ya 66(1) imetaja aina ya Wabunge watakao paswa kuwepo Bungeni kuwa ni watano. Lakini mgogoro uliupo sasa ni Wabunge wanaotajwa katika Ibara ya 66(1)(b) Wabunge wanawake.

Mwanzoni baada ya majina yale kuapishwa tuliambiwa yameletwa na CHADEMA. Hata CHADEMA walipokataa kuwa hatujaleta Spika na Tume ya Uchaguzi walisema yametoka CHADEMA.

Ibara ya 67(1) inazungumzia juu ya sifa anazopaswa kuwa nazo mtu anayeitwa Mbunge. Sifa moja wapo kati ya sifa hizo kuu tatu ni sifa inayotajwa katika Ibara ya 67(1)(b) inasema lazima AWE MWANACHAMA wa Chama cha Siasa.

Sambamba na hoja hizo, Ibara ya 78 bado inazungumzia Wabunge wa Viti maalum ambao ndio msingi wa hoja yangu hapo chini. Ibara ya 78(1) inazungumzia namna vyama vya siasa vilivyoshiriki uchaguzi vitakavyo pendekeza majina kwa Tume ya Uchaguzi. Lakini pia Ibara hiyo hiyo ya 78(4) inayotanguliwa na Ibara ndogo ya (3) inasema "Orodha ya majina ya wagombea wanawake iliyowasilishwa kwa Tume ya Uchaguzi na kila Chama kwa ajili ya Uchaguzi mkuu ndiyo itakayotumiwa na Tume ya Uchaguzi baada ya KUSHAURIANA NA CHAMA KINACHOHUSIKA.....

Baada ya kunukuu Ibara ya 66, 67 na 78 ninaomba kuuliza Tume ya Uchaguzi na Ofisi ya Spika Mhe Job Yustin Ndugai. Kwa nini jana wakati Mhe Silaa anawakashifu Wabunge kuwa vyama vyao vinawakaa hukuwatetea? Je ni sheria ipi inayoruhusu mtu kuwa Mbunge bila kuwa na Chama cha Siasa? Je, Silaa ni mwongo, mzushi na mfitini na hali ya kukataliwa siyo kweli? Kama ni kweli wamekataliwa,je kwa mjibu wa Ibara ya 78(4) inayosema Chama cha Siasa kitashauriana na Tume, je Tume ilishauriana na Viongozi wa CHADEMA? Je, kama tume haikushauriana na CHADEMA walitumia sheria ipi kuwafanya watu wasio na Chama kuwa Wabunge?

Wapo wanaojaribu kutumia precedent ya Zitto kama case study ya hawa Wabunge wanaosemekana hawana Chama kilichowadhamini, ukweli ni kuwa kesi ya Mhe Zitto Zuber Kabwe ilikuwa mahakamani na ndio maana kulitokea hiyo injuction. Je hawa wamefungua kesi mahakamani?

Sheria hizi zilitungwa na Bunge, je kama mliotunga sheria mnashindwa kuziheshimu vipi kwa ambao si washiriki wa kutunga hizo sheria. Ninadhani ni muda mwafaka kujitokeza hadharani watu wa Tume ili kuweka uhalali wa hawa watu kuendelea kuitwa Wabunge. Kinyume na hapo Wabunge wako wataendelea kudhalilishana kuitana majina ya hovyo. Lakini hata sisi walipa kodi tunataka kujua kama kodi zetu zinawalipa Wabunge halali au Wabunge wa kutengenezwa.

Ahasante.
CAG akijasema Bunge limeitia Hasara Serikali kwa kulipa Mishahara Wabunge Fake atashambuliwa
 
WABUNGE WALIOJIPELEKA BUNGENI NANI ANAWALIPA?

Na Elius Ndabila
0768239284

Jana baada ya Mchango wa Mhe Halima Mdee Bungeni ambao binafsi niliupenda sana kutokana na umahili wake wa kujenga hoja, baadae alisimama Mhe Kunambi na Mhe Jerry Silaa ambao ni Wabunge wa CCM kujaribu kupinga hoja zake.

Mhe Silaa akiwa anaenda kuhitimisha hoja yake alisema kuna Wabunge wapo Bungeni hata vyama vyao vinawakana. Hapa ndipo nitajenga msingi wa hoja yangu.

Turudi kidogo nyuma kwa maana ya misingi ya kisheria inayoongozwa na sheria Mama ambayo ni Katiba ya JMT. Kwa mjibu wa Ibara ya 66(1) imetaja aina ya Wabunge watakao paswa kuwepo Bungeni kuwa ni watano. Lakini mgogoro uliupo sasa ni Wabunge wanaotajwa katika Ibara ya 66(1)(b) Wabunge wanawake.

Mwanzoni baada ya majina yale kuapishwa tuliambiwa yameletwa na CHADEMA. Hata CHADEMA walipokataa kuwa hatujaleta Spika na Tume ya Uchaguzi walisema yametoka CHADEMA.

Ibara ya 67(1) inazungumzia juu ya sifa anazopaswa kuwa nazo mtu anayeitwa Mbunge. Sifa moja wapo kati ya sifa hizo kuu tatu ni sifa inayotajwa katika Ibara ya 67(1)(b) inasema lazima AWE MWANACHAMA wa Chama cha Siasa.

Sambamba na hoja hizo, Ibara ya 78 bado inazungumzia Wabunge wa Viti maalum ambao ndio msingi wa hoja yangu hapo chini. Ibara ya 78(1) inazungumzia namna vyama vya siasa vilivyoshiriki uchaguzi vitakavyo pendekeza majina kwa Tume ya Uchaguzi. Lakini pia Ibara hiyo hiyo ya 78(4) inayotanguliwa na Ibara ndogo ya (3) inasema "Orodha ya majina ya wagombea wanawake iliyowasilishwa kwa Tume ya Uchaguzi na kila Chama kwa ajili ya Uchaguzi mkuu ndiyo itakayotumiwa na Tume ya Uchaguzi baada ya KUSHAURIANA NA CHAMA KINACHOHUSIKA.....

Baada ya kunukuu Ibara ya 66, 67 na 78 ninaomba kuuliza Tume ya Uchaguzi na Ofisi ya Spika Mhe Job Yustin Ndugai. Kwa nini jana wakati Mhe Silaa anawakashifu Wabunge kuwa vyama vyao vinawakaa hukuwatetea? Je ni sheria ipi inayoruhusu mtu kuwa Mbunge bila kuwa na Chama cha Siasa? Je, Silaa ni mwongo, mzushi na mfitini na hali ya kukataliwa siyo kweli? Kama ni kweli wamekataliwa,je kwa mjibu wa Ibara ya 78(4) inayosema Chama cha Siasa kitashauriana na Tume, je Tume ilishauriana na Viongozi wa CHADEMA? Je, kama tume haikushauriana na CHADEMA walitumia sheria ipi kuwafanya watu wasio na Chama kuwa Wabunge?

Wapo wanaojaribu kutumia precedent ya Zitto kama case study ya hawa Wabunge wanaosemekana hawana Chama kilichowadhamini, ukweli ni kuwa kesi ya Mhe Zitto Zuber Kabwe ilikuwa mahakamani na ndio maana kulitokea hiyo injuction. Je hawa wamefungua kesi mahakamani?

Sheria hizi zilitungwa na Bunge, je kama mliotunga sheria mnashindwa kuziheshimu vipi kwa ambao si washiriki wa kutunga hizo sheria. Ninadhani ni muda mwafaka kujitokeza hadharani watu wa Tume ili kuweka uhalali wa hawa watu kuendelea kuitwa Wabunge. Kinyume na hapo Wabunge wako wataendelea kudhalilishana kuitana majina ya hovyo. Lakini hata sisi walipa kodi tunataka kujua kama kodi zetu zinawalipa Wabunge halali au Wabunge wa kutengenezwa.

Ahasante.
Ndiyo maana Ndugai na matapeli wenzake wamejiwekea kinga ya kutoshitakiwa
 
Tayari ameshaanza kutekeleza hukumu yake.

Mtazame Bashiru leo hii pamoja na mali zake lkn sononeko la moyo linamnyima raha kabisa .

Maana kashuushwa kama embe boribo za tanga zinavyo poromoka kutoka juu hadi chini.
Na bado,pale alipo kila akifikiria kuwa kuna timu inafanya special audit hapo BOT mavi yanagonga chupi na kurudi ndani.
 
Ndugai ni wa kuchunga sana, maana hao wengi wao ni wake za watu yeye sijui anapata faida ipi kwa kuwabeba hivyo!!

Hii ni auditing query!! Takukuru kazi hiyo!!
Anawaambukiza tu vile vimelea vinavyomfanya aumuke mashavu kama paka wa mgahawani.
 
WABUNGE WALIOJIPELEKA BUNGENI NANI ANAWALIPA?

Na Elius Ndabila
0768239284

Jana baada ya Mchango wa Mhe Halima Mdee Bungeni ambao binafsi niliupenda sana kutokana na umahili wake wa kujenga hoja, baadae alisimama Mhe Kunambi na Mhe Jerry Silaa ambao ni Wabunge wa CCM kujaribu kupinga hoja zake.

Mhe Silaa akiwa anaenda kuhitimisha hoja yake alisema kuna Wabunge wapo Bungeni hata vyama vyao vinawakana. Hapa ndipo nitajenga msingi wa hoja yangu.

Turudi kidogo nyuma kwa maana ya misingi ya kisheria inayoongozwa na sheria Mama ambayo ni Katiba ya JMT. Kwa mjibu wa Ibara ya 66(1) imetaja aina ya Wabunge watakao paswa kuwepo Bungeni kuwa ni watano. Lakini mgogoro uliupo sasa ni Wabunge wanaotajwa katika Ibara ya 66(1)(b) Wabunge wanawake.

Mwanzoni baada ya majina yale kuapishwa tuliambiwa yameletwa na CHADEMA. Hata CHADEMA walipokataa kuwa hatujaleta Spika na Tume ya Uchaguzi walisema yametoka CHADEMA.

Ibara ya 67(1) inazungumzia juu ya sifa anazopaswa kuwa nazo mtu anayeitwa Mbunge. Sifa moja wapo kati ya sifa hizo kuu tatu ni sifa inayotajwa katika Ibara ya 67(1)(b) inasema lazima AWE MWANACHAMA wa Chama cha Siasa.

Sambamba na hoja hizo, Ibara ya 78 bado inazungumzia Wabunge wa Viti maalum ambao ndio msingi wa hoja yangu hapo chini. Ibara ya 78(1) inazungumzia namna vyama vya siasa vilivyoshiriki uchaguzi vitakavyo pendekeza majina kwa Tume ya Uchaguzi. Lakini pia Ibara hiyo hiyo ya 78(4) inayotanguliwa na Ibara ndogo ya (3) inasema "Orodha ya majina ya wagombea wanawake iliyowasilishwa kwa Tume ya Uchaguzi na kila Chama kwa ajili ya Uchaguzi mkuu ndiyo itakayotumiwa na Tume ya Uchaguzi baada ya KUSHAURIANA NA CHAMA KINACHOHUSIKA.....

Baada ya kunukuu Ibara ya 66, 67 na 78 ninaomba kuuliza Tume ya Uchaguzi na Ofisi ya Spika Mhe Job Yustin Ndugai. Kwa nini jana wakati Mhe Silaa anawakashifu Wabunge kuwa vyama vyao vinawakaa hukuwatetea? Je ni sheria ipi inayoruhusu mtu kuwa Mbunge bila kuwa na Chama cha Siasa? Je, Silaa ni mwongo, mzushi na mfitini na hali ya kukataliwa siyo kweli? Kama ni kweli wamekataliwa,je kwa mjibu wa Ibara ya 78(4) inayosema Chama cha Siasa kitashauriana na Tume, je Tume ilishauriana na Viongozi wa CHADEMA? Je, kama tume haikushauriana na CHADEMA walitumia sheria ipi kuwafanya watu wasio na Chama kuwa Wabunge?

Wapo wanaojaribu kutumia precedent ya Zitto kama case study ya hawa Wabunge wanaosemekana hawana Chama kilichowadhamini, ukweli ni kuwa kesi ya Mhe Zitto Zuber Kabwe ilikuwa mahakamani na ndio maana kulitokea hiyo injuction. Je hawa wamefungua kesi mahakamani?

Sheria hizi zilitungwa na Bunge, je kama mliotunga sheria mnashindwa kuziheshimu vipi kwa ambao si washiriki wa kutunga hizo sheria. Ninadhani ni muda mwafaka kujitokeza hadharani watu wa Tume ili kuweka uhalali wa hawa watu kuendelea kuitwa Wabunge. Kinyume na hapo Wabunge wako wataendelea kudhalilishana kuitana majina ya hovyo. Lakini hata sisi walipa kodi tunataka kujua kama kodi zetu zinawalipa Wabunge halali au Wabunge wa kutengenezwa.

Ahasante.
Nasikitika kuona Ndugai anavunja katiba na anaachwa. Ni dhambi kubwa sana anafanya, aliapa kuilinda na sasa anaivunja. MUNGU ANAONA
 
WABUNGE WALIOJIPELEKA BUNGENI NANI ANAWALIPA?

Na Elius Ndabila
0768239284

Jana baada ya Mchango wa Mhe Halima Mdee Bungeni ambao binafsi niliupenda sana kutokana na umahili wake wa kujenga hoja, baadae alisimama Mhe Kunambi na Mhe Jerry Silaa ambao ni Wabunge wa CCM kujaribu kupinga hoja zake.

Mhe Silaa akiwa anaenda kuhitimisha hoja yake alisema kuna Wabunge wapo Bungeni hata vyama vyao vinawakana. Hapa ndipo nitajenga msingi wa hoja yangu.

Turudi kidogo nyuma kwa maana ya misingi ya kisheria inayoongozwa na sheria Mama ambayo ni Katiba ya JMT. Kwa mjibu wa Ibara ya 66(1) imetaja aina ya Wabunge watakao paswa kuwepo Bungeni kuwa ni watano. Lakini mgogoro uliupo sasa ni Wabunge wanaotajwa katika Ibara ya 66(1)(b) Wabunge wanawake.

Mwanzoni baada ya majina yale kuapishwa tuliambiwa yameletwa na CHADEMA. Hata CHADEMA walipokataa kuwa hatujaleta Spika na Tume ya Uchaguzi walisema yametoka CHADEMA.

Ibara ya 67(1) inazungumzia juu ya sifa anazopaswa kuwa nazo mtu anayeitwa Mbunge. Sifa moja wapo kati ya sifa hizo kuu tatu ni sifa inayotajwa katika Ibara ya 67(1)(b) inasema lazima AWE MWANACHAMA wa Chama cha Siasa.

Sambamba na hoja hizo, Ibara ya 78 bado inazungumzia Wabunge wa Viti maalum ambao ndio msingi wa hoja yangu hapo chini. Ibara ya 78(1) inazungumzia namna vyama vya siasa vilivyoshiriki uchaguzi vitakavyo pendekeza majina kwa Tume ya Uchaguzi. Lakini pia Ibara hiyo hiyo ya 78(4) inayotanguliwa na Ibara ndogo ya (3) inasema "Orodha ya majina ya wagombea wanawake iliyowasilishwa kwa Tume ya Uchaguzi na kila Chama kwa ajili ya Uchaguzi mkuu ndiyo itakayotumiwa na Tume ya Uchaguzi baada ya KUSHAURIANA NA CHAMA KINACHOHUSIKA.....

Baada ya kunukuu Ibara ya 66, 67 na 78 ninaomba kuuliza Tume ya Uchaguzi na Ofisi ya Spika Mhe Job Yustin Ndugai. Kwa nini jana wakati Mhe Silaa anawakashifu Wabunge kuwa vyama vyao vinawakaa hukuwatetea? Je ni sheria ipi inayoruhusu mtu kuwa Mbunge bila kuwa na Chama cha Siasa? Je, Silaa ni mwongo, mzushi na mfitini na hali ya kukataliwa siyo kweli? Kama ni kweli wamekataliwa,je kwa mjibu wa Ibara ya 78(4) inayosema Chama cha Siasa kitashauriana na Tume, je Tume ilishauriana na Viongozi wa CHADEMA? Je, kama tume haikushauriana na CHADEMA walitumia sheria ipi kuwafanya watu wasio na Chama kuwa Wabunge?

Wapo wanaojaribu kutumia precedent ya Zitto kama case study ya hawa Wabunge wanaosemekana hawana Chama kilichowadhamini, ukweli ni kuwa kesi ya Mhe Zitto Zuber Kabwe ilikuwa mahakamani na ndio maana kulitokea hiyo injuction. Je hawa wamefungua kesi mahakamani?

Sheria hizi zilitungwa na Bunge, je kama mliotunga sheria mnashindwa kuziheshimu vipi kwa ambao si washiriki wa kutunga hizo sheria. Ninadhani ni muda mwafaka kujitokeza hadharani watu wa Tume ili kuweka uhalali wa hawa watu kuendelea kuitwa Wabunge. Kinyume na hapo Wabunge wako wataendelea kudhalilishana kuitana majina ya hovyo. Lakini hata sisi walipa kodi tunataka kujua kama kodi zetu zinawalipa Wabunge halali au Wabunge wa kutengenezwa.

Ahasante.
Nduuuu gei
 
Back
Top Bottom