Hawa Wabunge wasio na chama wapo Bungeni kwa sheria ipi? Nani anawalipa?

Ndugai ni wa kuchunga sana, maana hao wengi wao ni wake za watu yeye sijui anapata faida ipi kwa kuwabeba hivyo!!

Hii ni auditing query!! Takukuru kazi hiyo!!
 
Viongozi Na Elimu Huku Sheria Zinazowaongoza Zipo
Wanafanya Watakavyo. Bado Tupo Mbali.
Wanaotakiwa Kufungwa Ni Top Layers Serikalini
Tumuombe mungu hao washetani wafungiliwe mbali
 
Hivi kwamfano rais wa sasa anaweza kumuamuri spika kuwaondoa hao wabunge kwa kukosa sifa?
Wala hili sio swala kumgonja Rais bali mamlaka mbali mbali za serikali zina uwezo wa kufanya hivyo hata wewe leo ukienda mahakamani kuomba tafsiri kuhusu maana halisi ya nani anastahili kuitwa Mbunge ...mahakama itakupa tafsiri na ukiipeleka bungeni wanaondoka asubuhi na mapema...
 
Ubarikiwe sana mkuu
 
Hivi CAG hawezi kwenda huko kututafutia matumizi yanayotokana na kulipwa wabunge halafu atumbie hivi... TSHS. BILIONI KADHAA, ZIMETUMIKA NA BUNGE KUWALIPA WATU WASIO WABUNGE.... ??
 
Ile ni Misukule ya Mwenda na Ndugai ni lazima sasa ijulikane imeingiaje yarabi.
 
Mimi niruke swali la kwanza lakini la pili ni rahisi tu nafiri lina 'maksi' chache sana. Wanalipwa kawaida tu kama wengine wote kupitia kodi za wavuja jasho na kwa hivyo, inatakiwa watimize majukumu yao vyema waliyotumwa.
 
CAG akijasema Bunge limeitia Hasara Serikali kwa kulipa Mishahara Wabunge Fake atashambuliwa
 
Ndiyo maana Ndugai na matapeli wenzake wamejiwekea kinga ya kutoshitakiwa
 
Tayari ameshaanza kutekeleza hukumu yake.

Mtazame Bashiru leo hii pamoja na mali zake lkn sononeko la moyo linamnyima raha kabisa .

Maana kashuushwa kama embe boribo za tanga zinavyo poromoka kutoka juu hadi chini.
Na bado,pale alipo kila akifikiria kuwa kuna timu inafanya special audit hapo BOT mavi yanagonga chupi na kurudi ndani.
 
Ndugai ni wa kuchunga sana, maana hao wengi wao ni wake za watu yeye sijui anapata faida ipi kwa kuwabeba hivyo!!

Hii ni auditing query!! Takukuru kazi hiyo!!
Anawaambukiza tu vile vimelea vinavyomfanya aumuke mashavu kama paka wa mgahawani.
 
Nasikitika kuona Ndugai anavunja katiba na anaachwa. Ni dhambi kubwa sana anafanya, aliapa kuilinda na sasa anaivunja. MUNGU ANAONA
 
Nduuuu gei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…