Hawa wachambuzi wa soka uchwara wa bongo: Waliishia kucheza mchangani, wanaongozwa na unazi badala ya weledi. Ni Ali Mayai Tembele tu anayestahili.

Hawa wachambuzi wa soka uchwara wa bongo: Waliishia kucheza mchangani, wanaongozwa na unazi badala ya weledi. Ni Ali Mayai Tembele tu anayestahili.

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Hawa wachambuzi uchwara wa soka wa bongo wanakera sana! Wanaongozwa na unazi/ushabiki badala ya weledi wa soka. Mtu hujawahi kucheza soka kabisa hata ngazi ya daraja la tatu utawezaje kuchambua soka!! Ni Tembele tu ambaye akichambua soka unaona **** weledi ndani yake!! Mliobaki oneni AIBU kujiita wachambuzi wa soka!!
 
Hebu tuwaanike wachambuzi wa soka wa bongo tuainishe yupi anastahili kuchambua soka na yupi anastahi kuchambua mchele kwa mkewe!
 
Tuliza kishundu mzeebaba
Unataka kusikia mazuri kila siku
 
Wachambuzi Wengi ni mchongo aka utoh!! .. hawapendi simba ikishinda!! Hata Ambao tulianza kuwaamini wamebaki kutushangaza et kapombe wawili ni sawa na juma shabani mmoja. Unamfananisha mchezaji aliye set standard kwa miaka saba mfululizo na kucheza match nyingi za kimatafa(kapombe) na mchezaji ambaye yupo kwenye form kucheza match 12 za ligi kuu ya NBC (juma) upuuzi huu!!!
 
Mpuuzi sana huyu jamaa pia.
Anazungumzaga kishabiki sana wakati fulani hata mahali panapohitaji mtu kuongea kiweledi.Hayuko smart na huwa yuko unprofessional sana wakati mwingine
Amri kiemba mbona hujamtaja
 
Mpuuzi sana huyu jamaa pia.
Anazungumzaga kishabiki sana wakati fulani hata mahali panapohitaji mtu kuongea kiweledi.Hayuko smart na huwa yuko unprofessional sana wakati mwingine
Ni shabiki wa kiembe samaki fc au Simba Sc?
 
Umeliona hilo mkuu na wewe afadhali Azam waliangalie hili au wachague kati ya unazi au biashara.
 
Mpuuzi sana huyu jamaa pia.
Anazungumzaga kishabiki sana wakati fulani hata mahali panapohitaji mtu kuongea kiweledi.Hayuko smart na huwa yuko unprofessional sana wakati mwingine
Kama Amri Kiemba hajui basi wewe una matatizo yako binafsi
 
Mayai hana flow nzuri ya maneno anapozungumza..
hili tatzo linawakabili wachzaji wengi wa zamani wanapozungumza mbele ya kamera.
uchambuzi sio kukariri takwim tu, bali mtiririko wa maneno, sauti, kutoa mifano ya rahisi kwa lugha inayoeleweka.
 
Mpuuzi sana huyu jamaa pia.
Anazungumzaga kishabiki sana wakati fulani hata mahali panapohitaji mtu kuongea kiweledi.Hayuko smart na huwa yuko unprofessional sana wakati mwingine
Kama kiemba hajui basi hamna anayejua uchambuzi.... mayai yuko neutral ila udhaifu wake ni upande wa technicality ya mpira hawezi kuelezea vizuri, anaongea mengi ila mengi hayana mantiki... kiemba anaujua mpira na kuuelezea, na sehemu ya kiweka wazi anaweka bila kujali ataumiza watu au laa... wachambuzi pekee walio vizuri kwangu mimi ni ali kamwe, kiemba na mayai...
 
George Ambangile anaupiga mwingi

Ali Kamwe, Dominick Salamba vipi
 
Mpuuzi sana huyu jamaa pia.
Anazungumzaga kishabiki sana wakati fulani hata mahali panapohitaji mtu kuongea kiweledi.Hayuko smart na huwa yuko unprofessional sana wakati mwingine
Hajaacha kuvuta bangi.
 
Unazi kwa timu uliyochezea ni muhimu ila kuna point hazitaki unazi inabidi zinyooke tu.
 
Soka la bongo bhanaa,mashabiki wake hawautaki ukweli,ukiwaambia ukweli ambao ni negative watakushambulia,wanataka kusifiwa Tu.....
 
Back
Top Bottom