sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ushidwe kujipanga kushinda uwanjani uje na mind game za kitoto ndo ushinde?acheni kutufanya wajinga kama nyie.Ile ilikuwa 'mind game' tu, ya kuwaingiza hofu Orlando, japo haikufanikiwa.
Hakuna ulozi wowote uliofanyika.
We jamaa ni kiaz kweli ,we unaona ile game wale maharamia walikua wanatoboa km mugalu asingefanya ujinga!!Yaani ushidwe kujipanga kushinda uwanjani uje na mind game za kitoto ndo ushinde?acheni kutufanya wajinga kama nyie.
Wangeshinda wangekuja kututambia hapa kuwa uchawi wao umewatoaYaani ushidwe kujipanga kushinda uwanjani uje na mind game za kitoto ndo ushinde?acheni kutufanya wajinga kama nyie.
Hamna mziki pale nyie mlishajulikana ni wakufungwa tu ilikuwa ni Suala la mda.. niliwaua mazima na mkanipa hela in betting..We jamaa ni kiaz kweli ,we unaona ile game wale maharamia walikua wanatoboa km mugalu asingefanya ujinga!!
Wewe ndie una wivu na chuki juu ya simba
Una kiroho fulani kinakupwita Hadi sio poa .
Watu wameshinda kwa mbinde Tena tukiwa pungufu mbaya zaidi tukiwa ugenini na tumetokewa kwa matuta lakin umekomaa balaa.
Shida yenu mlijua Simba anaenda kuoga mvua ya magoli ila mlichokiona hamkuamini.
Hadi mgalu anapata red card niliona wanautopolo walivyolipuka kwa shangwe maana wengi kijasho kilianza kuwatoka.
Ifike wakat muwe mnakubal mziki wa jiran hao unaowasifia mpka saiz hawaamin walipitaje pitaje kwenye kizingiti ambacho aliweka mnyama
Unakwenda kuweka mabeki 8 na bado umetobolewa tundu alafu unajisifu umetolewa kiume!!! Ungekuwa na timu bora usingepanga mabeki 8 ulichokwenda kufanya kule ni kupunguza idadi ya magoli kwa kuzuia tu dk 90 zote, kwaiyo mugalu ndo angekwenda kuzuia goli la orlando lisiingie?We jamaa ni kiaz kweli ,we unaona ile game wale maharamia walikua wanatoboa km mugalu asingefanya ujinga!!
Wewe ndie una wivu na chuki juu ya simba
Una kiroho fulani kinakupwita Hadi sio poa .
Watu wameshinda kwa mbinde Tena tukiwa pungufu mbaya zaidi tukiwa ugenini na tumetokewa kwa matuta lakin umekomaa balaa.
Shida yenu mlijua Simba anaenda kuoga mvua ya magoli ila mlichokiona hamkuamini.
Hadi mgalu anapata red card niliona wanautopolo walivyolipuka kwa shangwe maana wengi kijasho kilianza kuwatoka.
Ifike wakat muwe mnakubal mziki wa jiran hao unaowasifia mpka saiz hawaamin walipitaje pitaje kwenye kizingiti ambacho aliweka mnyama
Ile ilikuwa 'mind game' tu, ya kuwaingiza hofu Orlando, japo haikufanikiwa.
Hakuna ulozi wowote uliofanyika.
Utopolo muwe na akili walau hata za kuvukia barabara. Yaani mnataka hata kikosi cha Simba mpange wenyewe?... Ungekuwa na timu bora usingepanga mabeki 8 ulichokwenda kufanya kule ni kupunguza idadi ya magoli kwa kuzuia tu dk 90 zote, kwaiyo mugalu ndo angekwenda kuzuia goli la orlando lisiingie?
Tuwekee video tuone kukinyunyizwa kitu. Hiyo picha haioneshi kwa ufasaha kama kuna kitu kinanyunyizwa
Huyu jamaa wa Orlando Pirates alienda kunyunyizia kitu gani pale katikati? Naona kama tukio lake halijadiliwi kabisa
View attachment 2202211
Hakunyunyiza aiseeTuwekee video tuone kukinyunyizwa kitu. Hiyo picha haioneshi kwa ufasaha kama kuna kitu kinanyunyizwa