Hawa wachawi / walozi waliorejea nchini kutoka sauzi iwe mwiko kushirikishwa shughuli za misikitini na makanisani

Hawa wachawi / walozi waliorejea nchini kutoka sauzi iwe mwiko kushirikishwa shughuli za misikitini na makanisani


Huyu jamaa wa Orlando Pirates alienda kunyunyizia kitu gani pale katikati? Naona kama tukio lake halijadiliwi kabisa

View attachment 2202211
Soma hapo ni maji walimwagia baada ya Simba kuharibu uwanja wao kwa majuju
IMG_20220427_142643.jpg
 
Utopolo muwe na akili walau hata za kuvukia barabara. Yaani mnataka hata kikosi cha Simba mpange wenyewe?
Wewe ni mbumbumbu hasa, nani awapangie kikosi nyie, Kikosi chenu mlichopanga ndo icho cha mabeki 8 ili kupunguza dhoruba Kali la magoli, na bado mkashindiliwa, Mbinu ya timu isiyojiweza ni kupaki basi na bado akuna mlichofanikiwa unakuja kujitapa ujinga apa eti mugalu alituangusha tungeshinda labda mngeshinda njaa, Mmepelekewa moto kuanzia dk ya kwanza orlando kupata goli lilikuwa ni suala la muda tu, uyo mugalu alipiga mashuti mangapi yaliyolenga lango? Na timu yenu ilifika Mara ngapi kwenye goli la orlando? We unafikiri ushindi ungekuja tu kwa staili ile mliyokuwa mnacheza, Nyie jiandaeni kucheza na pamba uko acheni ujinga ujinga
 
Back
Top Bottom