Hawa wachina wanaharibu uchumi wa Nchi yetu

Hawa wachina wanaharibu uchumi wa Nchi yetu

Ndio Mkuu nimeshauri km bado hatuna uzalishaji wa processed goods basi tujikite katika uwekezaji wa kuzalisha mali ghafi kwa wingi kwa ajili ya export

Kwani ukiangalia ile korosho haijapewa tu kipaumbele ile ingepata usimamizi imara wananchi wakawezeshwa kwa pembe jeo tungevuna mara mia ya sasa Kwasababu Ukiondoa mikoa ya kusini kuna mikoa mingi tu inayozalisha korosho kutokana na Ardhi nzuri

Pia tungetafuta big five au three ya mazao kipaumbele kwa ajili ya kutengeneza fedha za kigeni wakati serkali inaendelea kujiimarisha kuweka mazingira mazuri kwa ajili ya uwekezaji wa viwanda

Unajua kitu kinaitwa Competitive advantage mkuu?Au ukiona tu tuna malighafi unaona kila kitu tunaweza kuzalisha?

Dunia inakimbia sana,tatizo si tuna amini kwamba mkishakua na malighafi tu then lazima nchi iwe tajiri,sa hivi service based industries zina-boom kuliko hata hizi manufacturing based industries ila sisi tumekomaa na tunayo yaamini tu.
 
Si kweli, haya kaongea juzi.

Kibao alilambwa diamond jubilee siyo msikitini kama ulivyozua mwanzo huko, zamani alipotaka kuhalalisha condom wakati hata papa wa vatikano anazipinga.

Wachina ndiyo mada, walikaribishwa na nani? Naona inauma lakini ndiyo inabidi ustahamili ikuingie kidogo kidogo. Stahamili tu.

Nilichomaanisha ni kwamba hata nikimsikiliza hapo simuoni kama ni intellectual,no wonder hata msikitini waliona anawarushia tu wakamlamba kibao heavy.
 
Tumia lugha ya staha kidogo Mkuu utaeleweka tu sio lazima uniharibie siku yangu

Nimekusoma comment yako Kuhusu Nyerere kuamua kufuata left wing na kuachana na right wing,lkn Mzungu na mchina ni wale wale wote wabaya, hakuna hata mmoja wao angalau basi mwenye lengo zuri na Africa au Tanzania yetu

Wote hawa wanakuja kupora kwa kalamu na ubabe

Ndio nimeshauri hapo juu kuwa baadhi ya bidhaa ambazo zinapatikana hapa nchini ziwekewe kiwango cha kuagiza pale kwenye upungufu kwenye soko la ndani

Kwa kuwa bado hatuwezi kuvimbishiana vifua na china kwenye uzalishaji viwandani
Kwa wakati huu
Ni bora serkali ikaweka nguvu kwenye mazao ya kipaumbele kwa ajili ya export, mfano Korosho na pamba na tumbaku ili kuipatia Nchi fedha ya kigeni
Kanisome tena ulichonijibu mwanzo mpaka mwisho. Unaonesha hayajakuingia sawa sawa.

Wewe kila mmoja atakunyonya tu kwani huna ulijualo.

Mzungu unamwita beberu, unajuwa maana yake? Beberu huwa linapanda tu. Sasa kupandwa hutaki kunyonywa hutaki. Na kupanda huwezi, kunyonya huwezi.

Unalalamika nini sasa? Tulia tu upandwe na mabeberu unyonywe na mchina.

Enjoy it while it lasts.
 
Nilichomaanisha ni kwamba hata nikimsikiliza hapo simuoni kama ni intellectual,no wonder hata msikitini waliona anawarushia tu wakamlamba kibao heavy.
Acha uongo. Nimekufahamisha wapi alilambwa kibao na kwa nini au hujayapenda?

Huyo ambae si "intellectual" aliwekwa na nani madarakani? Hahaha, THE only intellect in the world.

Nafahamu inauma bado, stahamili tu utazowea.

Nafahamu unaelewa kasema nini kwenye hiyo video clip na ni "taboo" kuyasikiliza hayo kwa watu kama wewe. Bado inauma?
 
Nadhani China ilianza kwa kumiliki makampuni makubwa ya ujenzi ambayo yalienda overseas hasa Africa na asia ndio walipoanza kuboom

Kwakuwa serkali ya Tanzania bado ni vigumu kufinance kila individual intellectuals
Ni bora ingetengeneza kampuni za umma kwa projects mbali mbali ambazo zinakuwa 100% financed na serkali lengo ikiwa ni kuhskikisha wanachukua creams kwa ajili ya kufanya local projects ili fedha yetu isitoke nje iendelee kujenga uchumi wa Nchi

Kuanzia barabara, majengo,kilimo,nk
Kuwekezwe kitaalamu na sio kimazoea
Unaporipoti kuibiwa lazima na wewe pia tukulaumu kwa kumjengea au kumshawishi mwizi ili akuibie...
Wachina tumewashawishi sisi kwa kujidharau na kushindwa kuwathamini watu wetu...
When you talk of multi-dollar projects like constructions - je sisi hawa hatuna ma-injinia??
Ukifuatilia utagungua kuwa tatizo ni mtaji... Je hao wachina unafikiri wanao huo mtaji?? Asilimia kubwa nchi yao imewajengea uwezo! Nchi imewathamini na kuwadhamini ili waweze kukopesheka kuweze kukidhi mahitaji ya kupata mitaji mikubwa mikubwa (in return it is all about job creation skills to grow the local economy).

Why have colleges and universities if we don't know how to use the end products for the best interests of our country??
 
Tumia lugha ya staha kidogo Mkuu utaeleweka tu sio lazima uniharibie siku yangu

Nimekusoma comment yako Kuhusu Nyerere kuamua kufuata left wing na kuachana na right wing,lkn Mzungu na mchina ni wale wale wote wabaya, hakuna hata mmoja wao angalau basi mwenye lengo zuri na Africa au Tanzania yetu

Wote hawa wanakuja kupora kwa kalamu na ubabe

Ndio nimeshauri hapo juu kuwa baadhi ya bidhaa ambazo zinapatikana hapa nchini ziwekewe kiwango cha kuagiza pale kwenye upungufu kwenye soko la ndani

Kwa kuwa bado hatuwezi kuvimbishiana vifua na china kwenye uzalishaji viwandani
Kwa wakati huu
Ni bora serkali ikaweka nguvu kwenye mazao ya kipaumbele kwa ajili ya export, mfano Korosho na pamba na tumbaku ili kuipatia Nchi fedha ya kigeni
Uvivu ndiyo unakufanya ufikirie hayo. Nani kaandika "left wing" na "right wing"? Kwani naandika kuhusu mechi ya Simba na Yanga hapa? Unanini wewe?

Nyerere kama kuomba omba misaada alienda kote. Umesahau ya Kennedy au siku hizo ulikuwa bado wewe tulipoletewa msaada wa chakula kwa hisani ya watu wa USA?

Lugha mbaya nimeanza mimi au wewe uliyesema unanyonywa? Si wewe vile vile huwa unasema mabeberu, umesahau? Hivi ulikuwa hujuwi kazi ya beberu ni nini? Kupanda tu.

Lugha msizozipenda muanzishe wenyewe halafu mlalamike. Hukuandika wewe kuwa mchina anakunyonya?
 
Nadhani China ilianza kwa kumiliki makampuni makubwa ya ujenzi ambayo yalienda overseas hasa Africa na asia ndio walipoanza kuboom

Kwakuwa serkali ya Tanzania bado ni vigumu kufinance kila individual intellectuals
Ni bora ingetengeneza kampuni za umma kwa projects mbali mbali ambazo zinakuwa 100% financed na serkali lengo ikiwa ni kuhskikisha wanachukua creams kwa ajili ya kufanya local projects ili fedha yetu isitoke nje iendelee kujenga uchumi wa Nchi

Kuanzia barabara, majengo,kilimo,nk
Kuwekezwe kitaalamu na sio kimazoea

Ebu jaribu kuwapa huo ushauri labda wakakusikia...
Wengine tukijaribu tunaambiwa tumetumwa na mabeberu!
 
Unajua kitu kinaitwa Competitive advantage mkuu?Au ukiona tu tuna malighafi unaona kila kitu tunaweza kuzalisha?

Dunia inakimbia sana,tatizo si tuna amini kwamba mkishakua na malighafi tu then lazima nchi iwe tajiri,sa hivi service based industries zina-boom kuliko hata hizi manufacturing based industries ila sisi tumekomaa na tunayo yaamini tu.
Service based is industries inaenda km mapacha manufactured based industries

Mfano kwenye service inategemea manufactured ili iweze kupaform

Ili uweze kutoa huduma kwa Wananchi wako lazima utengeneze miundo mbinu bora itakoyoalocate resources kabla ya kuanza kuzalisha au kupata faida kwenye service based industries

Angalia China wanaipromote ligi ya mpira wa miguu iwe ligi bora kwa miaka 50 ijayo,lkn walianza na kujenga miundo mbinu kwanza na kuandaa vijana ambao watakuwa competitive hii Ndio naweza kuiweka kwenye service based industries

Kwani sisi tunashindwa nini?
 
Acha uongo. Nimekufahamisha wapi alilambwa kibao na kwa nini au hujayapenda?

Huyo ambae si "intellectual" aliwekwa na nani madarakani? Hahaha, THE only intellect in the world.

Nafahamu inauma bado, stahamili tu utazowea.

Nafahamu unaelewa kasema nini kwenye hiyo video clip na ni "taboo" kuyasikiliza hayo kwa watu kama wewe. Bado inauma?

Ni kweli kabisa ni taboo kwangu kama ilivyoo taboo pale msikitini kwa yale mazungumzo aliyoyazungumza mpk akalambishwa ile alamba alamba.

Ni mwendo wa taboo kila sehemu.
 
Kuna pombe inaitwa burudani ukinywa unaeongea kama Huyu jamaa,we una kiwanda hapa?mifuko ya kubebea vitu tu mmeagiza viwanda vya china watengeneze.
 
Ni ajabu, kuona CCM wanajaribu kuwa kataa Marafiki wetu wa ukweli.
 
Zungumzeni yote lakini mimi konde langu nalitupia mtanzania mwenyewe, mpenda dezo dezo, mla rushwa katika "service provision based industries", mfanya "boycott" na "sabotage" katika "goods manufacturing based industries". Mchina ni Mbaya ndiyo ila Mtanzania ni mbaya zaidi sawa na nyani achekaye la mwenzie bila kujua lake likoje! Kule Madagascar wakati wanamuuzia Mchina kahawa kwa vikombe wanajua ubaya wake hata kabla ya harakati za uhuru, wakikwepa vipimo vya mzani. Hakuna kesho tuanze leo kujisahihisha kuondoa ubinafsi wetu kwanza. Tunajihujumu wenyewe.
 
Kabisa Mkuu, ukiangalia sekta ya Ujenzi Wachina wametawala si kwa sababu wazawa hawana uwezo wa kujenga barabara bali ni kuwa wao wamewezeshwa. Wana benki ambazo zinawapa Bondi na mitaji bila dhamana. Wanapata unafuu wa kuingiza bidhaa kutoka kwao,

Katika hali Kama hii Mkandarasi mzawa atashindana vipi? Hata Sheria ya manunuzi ya margin of preference haifuatwi.
Unaporipoti kuibiwa lazima na wewe pia tukulaumu kwa kumjengea au kumshawishi mwizi ili akuibie...
Wachina tumewashawishi sisi kwa kujidharau na kushindwa kuwathamini watu wetu...
When you talk of multi-dollar projects like constructions - je sisi hawa hatuna ma-injinia??
Ukifuatilia utagungua kuwa tatizo ni mtaji... Je hao wachina unafikiri wanao huo mtaji?? Asilimia kubwa nchi yao imewajengea uwezo! Nchi imewathamini na kuwadhamini ili waweze kukopesheka kuweze kukidhi mahitaji ya kupata mitaji mikubwa mikubwa (in return it is all about job creation skills to grow the local economy).

Why have colleges and universities if we don't know how to use the end products for the best interests of our country??
 
Wachina ndiyo marafiki wa Kweli nyie
wazee wa lumumba..... So mtuliee tuli

Ova
 
Wana manufacturing industry sijui unategemea nini, sasa vitu vinunuliwe wapi? Hatutengenezi hata cover za simu peke yake alafu unasema wazuie importation? Biidhaa 99% zinazonunuliwa kutoka nje hakuna mtu anatengeneza Tanzania na ni vitu vya muhimu watu wanahitaji ndiyo maana wafanyabiashara wana import. Vingekuwepo viwanda vya ndani vinatengeneza same product labda, ila kwa kua hakuna huwezi zuia. Zuia vitu ambavyo vipo ndani, mfano huwezi kuta mtu anaenda China kununua maziwa au cement huku Tanzania vipo.
 
Siku hizi ni kama fashion kijana akipata milion 20 anakimbilia china anaenda kuzoa uchafu huko analeta Tanzania
80% ya bidhaa za viwandani zinazoingia Tanzania zinatokea china

Miradi ya ujenzi wa miundo mbinu 80% wanachukua wao

Yaani kiufupi Tanzania tunapeleka mapesa Mengi China kuliko hata baadhi ya majimbo yaliyoko China

Siku hizi wachina wanawapa wafanyabiashara wazawa mabasi ili waendeshe biashara ila pesa inaenda China

Yaani kiufupi hawa mabwana sisi hatuna nao faida hata kidogo bali wamekuja kutunyonya tu

Yani sisi tunapeleka china tilion moja wao wanaleta billion miatano huu ni ubeberu na wizi wa mchana

Rais Magufuli Kwanini baadhi ya bidhaa zisipigwe marufuku kuingia nchini ili kuvipa thamani viwanda vya Ndani?

Wachina tuacheni tupumue

Kibaya zaidi over 70% ya bidhaa hizo ni fake na TBS yetu wakiwa wanalipwa mishahara yao!
 
Siku hizi ni kama fashion kijana akipata milion 20 anakimbilia china anaenda kuzoa uchafu huko analeta Tanzania
80% ya bidhaa za viwandani zinazoingia Tanzania zinatokea china

Miradi ya ujenzi wa miundo mbinu 80% wanachukua wao

Yaani kiufupi Tanzania tunapeleka mapesa Mengi China kuliko hata baadhi ya majimbo yaliyoko China

Siku hizi wachina wanawapa wafanyabiashara wazawa mabasi ili waendeshe biashara ila pesa inaenda China

Yaani kiufupi hawa mabwana sisi hatuna nao faida hata kidogo bali wamekuja kutunyonya tu

Yani sisi tunapeleka china tilion moja wao wanaleta billion miatano huu ni ubeberu na wizi wa mchana

Rais Magufuli Kwanini baadhi ya bidhaa zisipigwe marufuku kuingia nchini ili kuvipa thamani viwanda vya Ndani?

Wachina tuacheni tupumue
umeongea point zuri sana. ila utekelezaji waki unahitaji akili sana. na katika utawala huu hakuna mwenye akili ya kuweza kuona hilo na kulifanyia kazi kwa njia inayoweza kunufaisha watazania. kwanza kitu kinacho takiwa kufanyiwa kazi ni kufanya utafiti vitu vinaweza kuzalishwa nchini natukajitosheleza. kwa kuanzia tuweke kiwango cha juu kwa kitu chocho kinacho tengenezwa nje nakuja kuuzwa nchini.
 
China baada ya kuachana na Ukomunisti mkongwe na kuingia Uchumi wa Kibepari walianza kwa kusomesha watu wao wawe na ujuzi wakutosha na pia Makampuni makubwa ya nje yaliyokuwa yakifanya miradi China ilikuwa lazima kuwa na wabia wa Kichina Kama Supplier au Subcontractor. Baada ya muda wakajenga uwezo na kuwa na viwanda vya msingi Kama spares na malighafi nyingine. Waliendelea kukazia Sheria ikawa ili kiwanda kiweze kuwekeza lazima malighafi na vipuri vitoke humo humo ndani. Katika kufanya hivyo wakajikuta wanakuwa na viwanda na malighafi za kutosha pia Makampuni yao yakawa makubwa kiasi yakaanza kushindana na Makampuni ya Magharibi hadi leo.

Tunachotakiwa kufanya hapa si kurudisha Mashirika ya Umma, Bali Ni kuwawezesha Makampuni ya Wazawa katika miradi mikubwa pawe na ubia kisheria. Chukulia ujenzi wa SRG na Rufiji, Kama Wazawa wangepewa japo asilimia 30, ingelikuwa pesa nyingi Sana na wangejenga uwezo wa kuweza kufanya makubwa.
Nadhani China ilianza kwa kumiliki makampuni makubwa ya ujenzi ambayo yalienda overseas hasa Africa na asia ndio walipoanza kuboom

Kwakuwa serkali ya Tanzania bado ni vigumu kufinance kila individual intellectuals
Ni bora ingetengeneza kampuni za umma kwa projects mbali mbali ambazo zinakuwa 100% financed na serkali lengo ikiwa ni kuhskikisha wanachukua creams kwa ajili ya kufanya local projects ili fedha yetu isitoke nje iendelee kujenga uchumi wa Nchi

Kuanzia barabara, majengo,kilimo,nk
Kuwekezwe kitaalamu na sio kimazoea
 
Wana manufacturing industry sijui unategemea nini, sasa vitu vinunuliwe wapi? Hatutengenezi hata cover za simu peke yake alafu unasema wazuie importation? Biidhaa 99% zinazonunuliwa kutoka nje hakuna mtu anatengeneza Tanzania na ni vitu vya muhimu watu wanahitaji ndiyo maana wafanyabiashara wana import. Vingekuwepo viwanda vya ndani vinatengeneza same product labda, ila kwa kua hakuna huwezi zuia. Zuia vitu ambavyo vipo ndani, mfano huwezi kuta mtu anaenda China kununua maziwa au cement huku Tanzania vipo.

Mkuu haya ni matokeo ya hulka ya kikoloni na kibaguzi tuliyojengewa kwa miaka mingi...
Yaani ni kama pale kwenye familia yenu... Hamjiamini kiasi kila kitu na huduma zote muhimu mnategemea kutoka familia nyingine??
Sasa kwa nini muendelee kuitwa familia?? To
 
Back
Top Bottom