warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Make wa benpol huyohuyu gosbert (lollypop) atakuwa ni sho.ga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Make wa benpol huyohuyu gosbert (lollypop) atakuwa ni sho.ga
Whaaat!!Yule make was naniliu yuleooh
HahahaChalii hadi facial gestures zake naona kama anakopi kwa diamond,
In short haimbi gospel!
Dizaini kama anataka kuintroduce "gospel Flava"
Wivu wa kike huu.
Paul Clement ni producer wa mda mrefu hata kabla Jux hajajua kama kuna mziki, 2007 ndiye aliyemuandali John Lissu albam ya Yu hai Jehova!
Pia ni muandaaji wa nyimbo za Christina Shushu ,Kilahilo etc!
Mungu wa Israel anaangilia Moyo na si kama wewe mtu wa dini ufanyavyo!
Pole sana,Ukiokoka utajua mambo ya Uungu!
Eh eh eh...Hebu titirika hapa kivipi...?Make wa benpol huyo
Yap...St. James Shangilieni....Hahaha...why not Rose Muhando?
Mimi katika nyimbo za Gospel zinazonibariki ni
Kwanza kwaya karibu zote za zamani. Hasahasa miaka ya 90-99 kama za Arusha mjini na Shangilieni. daaah
Pili, nyimbo za baadhi ya waimbaji wachache sana kama Christina Shusho, Abihudi Misholi, Ephraim Mwansasu na Bahati bukuku.
Lastly, ni nyimbo zote za kuabudu.
Yeah mkuu...na St. Theresa, wale ni waimbaji bana.Yap...St. James Shangilieni....
Kivipi hapo?Huyo clement naye nimemshtukia, kuna shda hapo, any way these guys are in gospel for biznez kwa hiyo nadhan waendelee tuu waoate pesa
Mimi niliamua kubadili upepo na kuwa fan wa south africa.Kuna wale jamaa wa Kijitonyama KKKT wakiongozwa na Joshua
Shangilieni enzi hizo kina Beatrice Mhone ni kisichana
Na nyimbo kama habri ya mwana mpotevu ....
Kuna mama jusi wa Moshi ..,.
Shusho kwa wasanii solo
Mwisho kabisa ni kwa Wazulu wa kwa Madiba wale watu wanaimba , kina Holly Cross Choir na nyimbo zao kama Lizwi ....
HahahaKuna wale jamaa wa Kijitonyama KKKT wakiongozwa na Joshua
Shangilieni enzi hizo kina Beatrice Mhone ni kisichana
Na nyimbo kama habri ya mwana mpotevu ....
Kuna mama jusi wa Moshi ..,.
Shusho kwa wasanii solo
Mwisho kabisa ni kwa Wazulu wa kwa Madiba wale watu wanaimba , kina Holly Cross Choir na nyimbo zao kama Lizwi ....
AaahKivipi hapo?
Hahaha mkuu nimekulia kwenye familia moja hivi acha tu mshua alikuwa na interests kibao anapenda Gospel ,country songs ,anasikiliza Reggae anapenda sana wanyama na pia alikuwa anapenda MoviesHahaha
We jamaa mkongwe una wafaham holy cross chair
Walinishika sana, walikuwa wana wimbo wao unaitwa siyakudumisa,
Mwingine my fav Ngena nathi
Hahaha zamaniii sanaaa.
Jamaa anacharaza kinanda Balaa....Yeah mkuu...na St. Theresa, wale ni waimbaji bana.
Yupo fundi mmoja wa music anaitwa Mkude wa RC.