Hawa waimbaji wa injili mbona wana mapozi tata sana?

Kuna ule wimbo...
"jamani shangwe, shangwe tushangile, simba wa Yuda kaaja kwa unyonge..."

Huo wimbo naweza sikiliza hata mara mia...
Cc: Otorong'ong'o umenifanya nitafute CD kwa ajili ya huo wimbo tu.

Pia nimefurahi sana kupata wadau wa nyimbo za kwaya za zamani.

Katika nyimbo za hao waimbaji, kuna ule wa

"Nakulilia Jehovaa, uko wapii messiah mbona u mbali nami bwanaa"

Katika huo wimbo na kinanda kinavyopigwa daah.
 
Nyimbo za siku hizi ni biashara kuliko kuabudu.
Wanarudia mstaria mmoja mara mia ili wimbo ukolezee wauze.

Sintokaa nizinunue mi bado na selection yangu ya kwaya za zamani mama alinipa. Na bado zipo kwenye kanda.
Sasa ukitaka uwe na siku nzuri ya furaha haswaa nenda Radio Habari Maalum (RHM) waombe wakupe nyimbo za harusi za kwaya ya 1990-1998 hivi.

Hizo nyimbo hata you tube haziko ila baadhi ya wachungaji wana record zao.

[emoji445] Bwana harusi sikiliza....huyo ndiye wakoo...

Umekabidhiwa rasmi leo...umtunze, umlinde, sawa kama mboni ya jicho lako [emoji445]


Huo wimbo ukiupata utafurahi.
 
Wewe tuko pamoja ndugu
 
Ubarikiwe ndugu kwa mahubiri yako mazuri.
 
Kuna ya kwaya kuu Arusha na Kilimanjaro kwaya.

Ukiwa unaserch usisahau kuweka Kilimanjaro kwaya kutubu dhambi na kuziacha.
Nakuelewa sanaa. Sijui kama vijana / watoto wa leo wanapata malezi kiasi gani ya kuwaivisha kiroho kiasi hiki na kuwaacha na kiu ya kutamani injili ya nyimbo pindi waachanapo na wazazi wao kama tulivyokuwa sisi. Inasikitisha sana. Nathubutu kusema tulilelewa. Mungu awabariki sana wazazi wetu. Dunia ya leo kama hukuivishwa lazima upotee tu. Hakuna namna.
 
Kuna nuhu, habari ya mwana mpotevu, na ile ya isaka duh harari
 
Kwa hao wawili kweli lazima usikilize maneno ndio ujue wanamwimbia Mungu lkn bila kusikia maneno ni bongo freva
 
Ndio maana napenda sana kwaya kuliko waimbaji binafs

Waimbaji binafs nawakubali hawa
Ambwene Mwasongwe
Joshua Mlerwa
Shusho


Wengine wapiga hela tu
 
Ndio maana napenda sana kwaya kuliko waimbaji binafs

Waimbaji binafs nawakubali hawa
Ambwene Mwasongwe
Joshua Mlerwa
Shusho


Wengine wapiga hela tu
Tuanzishe Uzi Maalumu wa "Old School Gospels za Tanzania" na Kisha Watu Wachangie Kwa Kuweka Audios,Videos na Picha za Kwaya Hizo!Na Nina Uhakika Kuna Watu Baki Wataongezea Nyama Katika Uzi Huo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…