Hawa waimbaji wa injili mbona wana mapozi tata sana?

Mmh binamu basi umri wako c haba, unakimbizana na jide itakua, aaaah
Hapana hata mkuu...I'm in late 20'' ila tu nlikuwa nawasikiliza tokea nikiwa mdg.

Album ya shangilieni ndio kwaya yangu ya kwanza ya video cassete kuwatch.

Sent from my GT-S7580 using JamiiForums mobile app
 
Mtafute na Vick yohe yupo vizuri
 
Upo Coco Beach unauliza baharini wapi?
 
Usikariri mambo,,,,kuna gospel nyingi tu mfano zambia wengi wao lazma wakate uno,, mimi nadhan ni tamaduni za sehemu tofaut
 
Naomba Mungu mwanangu ayachukue mafunzo yote haya ninayo mfundisha kama mama yangu alivyo nifunza.

Maana dunia hii ya sasa kuna majaribu mengi mno.
 
Hapa umenikumbusha mama, halfu enzi hizo tuna kaseti bhana, anasikiliza huku ana pika hahaha!!

Lakini hawa waimbaj wa siku hizi wana tutania aki ya Mungu
Kwani siku hizi watu hawawezi kusikiliza huku wakipika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…