Kabisa, nimekusomawaTanzania wengi hamuelewi tofauti ya Mwigulu waziri na Mwigulu kama mtu..... Kwenye kikao zile hasira na mapovu yalielekezwa kwa Mwigulu waziri ila maadam kikao kimeisha Ina maana Sasa Wanaongea na Mwigulu kama mtu. Ndio Sasa wanataniana and selfie kama zote.
Ndio maana hata Simba na yanga tambo na matusi huwa mengi ila mechi ikiisha unaona viongozi na wachezaji wanasalimiana na vicheko juu.
Tutofautishe Siasa NA Ukarimu wa waTanzania.
Kuna tofauti Kati ya maisha binafsi ya mtu mtaani na huko ofisiniwaTanzania wengi hamuelewi tofauti ya Mwigulu waziri na Mwigulu kama mtu..... Kwenye kikao zile hasira na mapovu yalielekezwa kwa Mwigulu waziri ila maadam kikao kimeisha Ina maana Sasa Wanaongea na Mwigulu kama mtu. Ndio Sasa wanataniana and selfie kama zote.
Ndio maana hata Simba na yanga tambo na matusi huwa mengi ila mechi ikiisha unaona viongozi na wachezaji wanasalimiana na vicheko juu.
Tutofautishe Siasa NA Ukarimu wa waTanzania.
Created!Nimefuatilia kikao kile, nimesikiliza hoja za wale wafanyabiashara, nikaona masikitiko yao. Lakini wakati wa kuagana na baada ya PM kuwa ameondoka jukwaa likavamiwa na wafanyabiashara waliojaa bashasha na nderemo wakimpongeza Waziri wa fedha. Leo naona ile clip yenye nderemo iko pinned kwenye official accounts za MoF. Sasa ninajiuliza mabadiliko ya haraka ya vilio mbele ya Waziri Mkuu hadi furaha za bashasha ile jioni. Wale vijana ni wa wapi?
That could be a conspiracy. Nasikia wale wengi walikuwa Mashabiki tu Wa Yanga. Hawakuwa na lolote na kilichokuwa kinaendelea pale