Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Morrison ndo alibaki kuwa nembo yetu Jangwani. Tuliaminishwa kuwa amesinya. Kama ambavyo tuliaminishwa Tshishimbi amesinya kumbe bado ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Inauma sana kila nikifikiria huwaga ninalia. Inauma sana unyama wanaotufanyia hawa wanyama Simba, huu si ustaraabu wangechukua hata wachezaji watano Yanga lakini siyo Morrison.
GSM mmekuwa wababaishaji sana. Tunaona ubabaishaji wenu na matokeo yake. Hii mmefanya ni uhuni kwa Yanga. Muondoke kama hamwezi. Simba wanamchukua Morrison hivi hivi? Inaumiza sana.
Halafu jamaaa anasinya huku anatucheka. Jamaa wametupiga pale pale kwenye mshono. Wameutatua tena mshono. Tunaanza upyaaaa.
Inauma sana kila nikifikiria huwaga ninalia. Inauma sana unyama wanaotufanyia hawa wanyama Simba, huu si ustaraabu wangechukua hata wachezaji watano Yanga lakini siyo Morrison.
GSM mmekuwa wababaishaji sana. Tunaona ubabaishaji wenu na matokeo yake. Hii mmefanya ni uhuni kwa Yanga. Muondoke kama hamwezi. Simba wanamchukua Morrison hivi hivi? Inaumiza sana.
Halafu jamaaa anasinya huku anatucheka. Jamaa wametupiga pale pale kwenye mshono. Wameutatua tena mshono. Tunaanza upyaaaa.