Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo vipi....?Kuna members wengi humu jf tangu uingie mwaka 2015 sijaona wakichangia wala kutoa Post ya habari yoyote ile, sasa hapo ndipo ninapojiuliza kuwa hawa members bado wapo hai Au tayari wameshatangulia mbele ya Haki!!!!!??
Basi tukielekea kuumaliza mwaka wa 2015 na kuingia mwaka mpya wa 2016 ni vizuri kila mmoja wetu aka-comment neno "Hai" ili kujua kama bado tupo wote au kuna wale waliotangulia mbele ya Haki.
Mpe taarifa member mwenzio aje hapa aweke Comment.
Mimi nawapa taarifa wafuatao, #Cnjona, #bantulady #mmawia.
Niko hai mkuu.... jeuri ya chama cha ukaguzi.
sijui kwa nini unaona zaidi ya watu watanoHata mm pia hilo tatizo nimeliona, kuna Jamaa anatumia Avatar yangu, sijui ni mgeni humu Jukwaani!!!!!
Wwe yako ya kweliwengine wameaga Dunia at it ujue wengi wanatumia I'd zisizo zao... so HATA ukisikia fulani Kadanja huwezi jua atii
Kweli nachukia sana ninapoona mtu anatumia avatar yako cz me nikionaga picha yako najua ni wwe kumbe kuna mijitu imecopysijui kwa nini unaona zaidi ya watu watano
Inaboa sana hii kitu!! Kuna watu ubunifu "F" yaani unajua kabisa kuwa hii ni avatar ya mtu fulani halafu ww unakuja kuitumia hiyo hiyo. Kuna boya nimeliona asubuhi ya leo anatanua na avatar yangu, NIMEBOREKA.Kweli nachukia sana ninapoona mtu anatumia avatar yako cz me nikionaga picha yako najua ni wwe kumbe kuna mijitu imecopy