Hawa Wanachama wa JF wasiopost chochote wapo kweli?

Hawa Wanachama wa JF wasiopost chochote wapo kweli?

Kuna members wengi humu jf tangu uingie mwaka 2015 sijaona wakichangia wala kutoa Post ya habari yoyote ile, sasa hapo ndipo ninapojiuliza kuwa hawa members bado wapo hai Au tayari wameshatangulia mbele ya Haki!!!!!??

Basi tukielekea kuumaliza mwaka wa 2015 na kuingia mwaka mpya wa 2016 ni vizuri kila mmoja wetu aka-comment neno "Hai" ili kujua kama bado tupo wote au kuna wale waliotangulia mbele ya Haki.
Mpe taarifa member mwenzio aje hapa aweke Comment.
Mimi nawapa taarifa wafuatao, #Cnjona, #bantulady #mmawia.
Huyu @Mmawia mbona yuko bize sana humu, ktk jukwaa la siasa, yeye bado anampigia kampeni lowassaa!
 
Kuna members wengi humu jf tangu uingie mwaka 2015 sijaona wakichangia wala kutoa Post ya habari yoyote ile, sasa hapo ndipo ninapojiuliza kuwa hawa members bado wapo hai Au tayari wameshatangulia mbele ya Haki!!!!!??

Basi tukielekea kuumaliza mwaka wa 2015 na kuingia mwaka mpya wa 2016 ni vizuri kila mmoja wetu aka-comment neno "Hai" ili kujua kama bado tupo wote au kuna wale waliotangulia mbele ya Haki.
Mpe taarifa member mwenzio aje hapa aweke Comment.
Mimi nawapa taarifa wafuatao, #Cnjona, #bantulady #mmawia.
Huyu @Mmawia mbona yuko bize sana humu, ktk jukwaa la siasa, yeye bado anampigia kampeni lowassaa!
 
Kuna members wengi humu jf tangu uingie mwaka 2015 sijaona wakichangia wala kutoa Post ya habari yoyote ile, sasa hapo ndipo ninapojiuliza kuwa hawa members bado wapo hai Au tayari wameshatangulia mbele ya Haki!!!!!??

Basi tukielekea kuumaliza mwaka wa 2015 na kuingia mwaka mpya wa 2016 ni vizuri kila mmoja wetu aka-comment neno "Hai" ili kujua kama bado tupo wote au kuna wale waliotangulia mbele ya Haki.
Mpe taarifa member mwenzio aje hapa aweke Comment.
Mimi nawapa taarifa wafuatao, #Cnjona, #bantulady #mmawia.
Huyu @Mmawia mbona yuko bize sana humu, ktk jukwaa la siasa, yeye bado anampigia kampeni lowassaa!
 
@tumboo yuko wapi?
Alafu @Game Theory kaanzisha uzi wa Arsenal FC kisha kala kona na kakataa kutoa password maana uzi ktk homepage unedorora, unahitaji update! Huyu jamaa sijui yu mzima au la, Haonekani kabisa!
Na @Idimi aje kuthibitisha uwepo wake!
 
Back
Top Bottom