farusofia
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 539
- 553
Leo nimechukua shati la kijeshi la braza na suruali ya kawaida nimetinga nikapita maeneo ya jeshini naona wameniita wakaniuliza we hilo si shati la kijeshi?
Mbona Wew umevaa kwani wewe ni Mwanajeshi?
Nimewaambia Nyie Wajinga nini sasa Mlitaka Nivae Vest?Naona wamenibeba Juu Juu Nasikia Raha Kweli Nahis Wananipeleka Kunipa Suruali Kabsaa....
Sipendi Kuchezewa Akili Yangu
[emoji16][emoji16][emoji16]
Mbona Wew umevaa kwani wewe ni Mwanajeshi?
Nimewaambia Nyie Wajinga nini sasa Mlitaka Nivae Vest?Naona wamenibeba Juu Juu Nasikia Raha Kweli Nahis Wananipeleka Kunipa Suruali Kabsaa....
Sipendi Kuchezewa Akili Yangu
[emoji16][emoji16][emoji16]