Hawa wanaJF wafungue tu band yao

Siamini we ndio umeandika hii
Umewapa ...ukawapa tenaaaa
Unaelekea kuvuka mipaka kutokana na mazoea ya kipumbavu

Kila kitu kinafaa kiishie katika mkitadha wake na mda wake as well as uhusika wake...
Nimekuwa nikikuangalia nimegundua unanichukulia kiboya
Sasa naomba huu uwe mwanzo na Mwisho Bibie[emoji16]
 
Daaah mpaka umeniandikia kizungu waaaaoooo
 
Unaelekea kuvuka mipaka kutokana na mazoea ya kipumbavu

Kila kitu kinafaa kiishie katika mkitadha wake na mda wake as well as uhusika wake...
Nimekuwa nikikuangalia nimegundua unanichukulia kiboya
Sasa naomba huu uwe mwanzo na Mwisho Bibie[emoji16]
So upo serious?mi sipo serious aisee
Hata nikikuchulia sio boya hainisadii maana sikujui na sihitaji kukujuaa zaidi ya kupishana humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…