Hawa WanaJF wangekuwa timu zilizoshiriki Kombe la Dunia 2018 nadhani wangekuwa timu hizi

Hawa WanaJF wangekuwa timu zilizoshiriki Kombe la Dunia 2018 nadhani wangekuwa timu hizi

Najua wengi tunapenda Mpira sasa leo mwenzenu nahisi kama hawa member wangekuwa Timu zilizoshiriki kombe la Dunia wangekuwa kama ifuatavyo:

1. Mshana Jr -Crotia

2. Hajar -Belgium

3. GENTAMYCINE -Panama

4. Demiss - England

5. Davet - Germany

6. Humble African - Russia

7. mumu -Morocco

8. Mwifwa -Portugal

9. Hazard fc -Spain

10. Mama Sabrina -France

11. Shunie - Brazil

12. hearly -Nigeria

13. Mzigua90 - Peru

14. Kiranga -Japan

15. GuDume -Egypt


Demiss mm mshabiki namba moja wa England na Crotia.
Mimi sihami, timu yangu India
 
Bias na ubinafsi. So wote mnaotaka kuwemo na hammo, na nyie undeni magroup yenu ili mfahamiane wenyewe.
duuuuhhh hahahha...by the way " JF ina members wengi mnooo ambao ni famous " nivigumu mnooo "" kwa muhusika na mada kuweza kuwakumbuka na kuwataja wote " kwenye Uzi mmoja "...
 
Back
Top Bottom