Hawa wanaume hatujawajulia tu

No one know tomorrow ukiwa una reasoning sana Kuna mambo utafanya alafu baadae hutaanza kujilaumu, ukipata nafasi una enjoy mkiachana hayo ni matokeo
Uko sawa,mahusiano is all about enjoying na kupendana

Sio kupambana mtu abaki na wewe
 
Tena hao wanaosifika kwa kuyajua mapenzi hata ndoa zao huwa hazidumu wanaishia kuonyesha ufundi wao kwa wanaume wenye ndoa zao[emoji23]

Hahahah
Mganga hajigangi
 
Huu ni miongon mwa nyuzi bora kuwahi kutokea hapa jukwaani.
 
Naongezea mkumbuke na kulia basi, kulia hakukatazwi lakini kiwe cha kweli siyo makelele akikuangalia mwanaume macho makavu, sura umeikunja kama umelamba ndimu kelele nyiingi wizi mtupu. Hujihangaishi umetulia tuu zako, hapana ule ni uwanja wa mashindano kati yenu kila mtu anatakiwa ajitume aonyeshe ujuzi jamani. Mwili wako ulainishe uunyumbuliishe kama huna mfupa, siyo unatulia kama unaombewa.
 
Umeandika mambo ya kawaida sana mwingine atakuona hujielewi, ila laiti kama wanawake mkijaribu kufuata huo ushaur hakika mtaponya mahusiano yenu pakubwa sana... Hayo yote ndio wanaume hufanyiwa wakiwa kwa michepuko yao ndio maana unakuta mwanaume ana michepuko yake 2 au 3 zaidi ya miaka 5 hawaachani kwasabab ya mambo madogo madogo kama hayo... Wanaume wengi wanapenda sana hizo mambo tatizo wake zao wanajifanya walokole...
 
kwenye Jamii zetu ni Wanawake wananyimwa uhuru wa kuelezea "Ngono "

Akionekana anazungumzia anaitwa "Malaya".

Hili jambo limefanya Wanawake wasizingatie matumizi ya KONDOMU

yaan kutumia kondom kwenye Ngono ni suala la uamuzi wa Mwanaume .



Wanawake kama mtoa mada, inabidi tueaunge mikono Kwa kweli ..maana kazungumza vitu ambavyo mwanaume yoyote chini ya Jua mwenye mbooo na Rijali ,asiye na stress na mwenye Maisha yake, LAZIMA UPENDE PUSSY !!.
 
Ulokole unatuponza🤣
 
Kwa hiyo kwasababu mwanaume anatumia logic ndio iwe kigezo cha 'kunyenyekewa' kila wakati?

Mwanadamu haridhiki mzee,ndio maana umeandika 'michepuko' na sio mchepuko,yaaani ipo zaidi ya mmoja...maana yake hoja ya to yeye kuhusu kumpa uchi mwanaume kila anapotaka ili atulie haipo
 
Ukishaliwa huna utakatifu Tena,hata wakiniona Malaya,waipitishe tu 😉
 
Msukuma unaona ngono kitu cha maana sana.
Mkuu sinywi pombe, sivuti Bangi ,Sina starehe yoyote ya kuupotezea muda


Nina Maisha yangu, Sina stress . Kwann nisipende Ngono??

Kuna kipindi ndo nmeanza kazi, nilikua nazipiga K hata nne mpaka Tano Kwa siku .
 
Vijana hao, unaweza kuta unaishi kwa shemeji yako na umeshakula ubwabwa wa bure usiku huu sasa unavimba humu na kujifanya kidume.
Kuna jokes the kuna comment za kisenge kama hizi nahisi una jeuri ya kukoment chchte kwasabu upo nyuma ya keyboard.... naomba kusema tutaniane lkini usivuke mipaka hadi kusema na kaa kwa shemeji .... tuishie hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…