Optimistic_
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 2,347
- 1,850
Hii naambiwa sana daahNi kweli ila kama mnapendana akihitaji hutompangia muda cute....ila kama hisia nae ziko mbali ni lazima utamwambia Kwa wiki nakupa jumapili tu siku zingine usiniguse
Wewe unanafasi yako yakupekee sana kwenye ulimwengu wa wanaume hasa MimiUkishaliwa huna utakatifu Tena,hata wakiniona Malaya,waipitishe tu 😉
Ahsaante.Karibu sana
Daah! Kuna moja ilininyima mbususu sito kaa nisahau, ilibidi niitafutie sababu chap nkapita hiviHuu ndio ukweli uliofichwa na hausemwi. Kila siku nasema mwanaume anaingia kwenye mahusiano kwa sababu ya ngono hakuna kingine zaidi ya hicho. Ngono ndio sababu ya kwanza, hongera sana kwa kulitambua hilo.
Mwanamke kama umekubali kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi ujue kuwa Mbususu lazima ichakatwe ipasavyo tena wakati wowote ule. We endelea kubana mchawi katika mahusiano yako ni ww mwenyewe, narudia tena mwanaume anaingia kwenye mahusiano kwa sababu ya NGONO.
Mimi siwezi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke kama DADA na KAKA hiyo kitu ni never yaani unizingue kunipa Mbususu alafu niendelee kuwa na wewe, aisee wanawake ni wengi nitatafuta alie tayari kunipa muda wowote nitakao itaji.
Ukweli piaUjinga ni ile kudhani ngono ni kitu fulani cha muhimu au cha kumiliki kiasi kwamba eti mtu 'anakupa' au 'ananyima' mwingine.!
Ngono ni tendo tu ambalo hata wadudu wanafanya, hivyo lisifanyike kama hisani au ili kumteka mwanamme….. ukimpa kwa kumkamia hivyo ataona miyeyusho tu akichoka atakinai na kutafuta kasoro nyingine.
Mahusiano hasa ya familia ni zaidi ya ngono hata kama ni tamu namna gani, haiwezi kufikia utamu wa ile ya kuibia.
Unaonekana ww ni fundi sana, naomba mechi hata ya kirafiki.Embu tujaribu mbinu hii, kuwapea game sehemu yoyote, I mean sebuleni, chumbani , jikoni, kwenye gari, bafuni... yaan popote. Hata mkitoka mkienda porini kutembelea mashamba yenu ... shikilia mti benua mti apige kimoja Cha faster. Kama unampenda kuwa Malaya tu kwake.. no way out.
Mbinu nyingine usichague wakati, yaan kama mpo pamoja tu mpe I mean iwe asubuhi, mchana au jion usiku pia, Leo akitaka mchana poa, kesho usiku poa... usimpangie eti nitakupa kesho mwenzio kataka Leo...[emoji15]mpe kile Cha chap Kwa haraka [emoji6] egamia hata kochi pandisha kasketi hako ashushe kabukta kake hako kagumu[emoji1787] (kama ulimwachia afue hawajui kufua hao wanaacha tuboksa na povu ikikauka inakakamaa kama inataka kusimama Dede[emoji849])
Jambo lingine ni usisubiri aanze yeye kudai haki ya ndoa, anza hata wewe mwenyewe.... hizi aibu utafikiri ndio mnaanza kutongozana zinacost aisee.... hata usipotamka ukishika tu pahala pale akakutazama usoni na macho yakaongea aisee, mbona anavua chap Kwa haraka hawasubirigi hao[emoji119]
Mtu mwingine anaweza kusema tutakuwa tunashindia ngono tu[emoji3525]... maskini [emoji3064]ndio maana ulioa, uliolewa la sivyo ungekaa hata na nduguzo.....
Na mwisho ni matumiz mazuri ya ulimi, kama unampenda jishushe, usipande juu kabla yake Wala baada ya yeye kupanda juu.... Magumu yapo but relax... nimejifunza kutoka kwangu mwenyewe... Kuna neno nishawahi tamkiwa, Kali, baya, chungu.... japo aliomba msamaha but linanotafuna mpaka Leo..... utaomba msamaha Kwa kuropoka neno baya utaambiwa umesamehewa lakini unakuwa umemwachia kovu mwenzio...
Kwa mfano mwenzio ameanza kuwa na tatizo la nguvu za kiume, siku mmekwazana,wewe ukasema"nawe unajiona mwanaume katika wanaume na[emoji57] juu" Aisee huyo jamaa hatokuja akae sawa mpaka anaingia kaburini, yaan atakuwa akitaka kuchomeka tu,anakumbuka neno lako Ivo anajua unamchora tu hapo![emoji849][emoji3525]. Nina mtoto wa kiume naumia wanapoumizwa, wengine hata hawakupata malezi mazuri toka Kwa wazazi wao tuwalee hata Kwa nusu bas kama kina mama, Kuna muda mruhusu mlie pamoja anapokuwa na maswahibu toka job, wanakutana na mengi wanakosa pa kulalamikia[emoji24] daah, hata sielewi naumia na Nini wakati niliumizwa nao[emoji24][emoji24][emoji24][emoji34][emoji57]
NB: Tumieni vyombo Ivo jamani, kufa kwaja .... daah![emoji2955]
Yaan hawa imekua shida sanaTatizo wanawake wa dizain hiyo walikufa(ga) kwenye vile Vita vya majimaji... sahiv tunao Hawa ambao kupewa mbususu ni mpaka ujieleze utadhan upo kwenye usaili
Ungefaa kuwa kungwi wasichokijua wanawake wengi ni kuwa wanaume tunapenda mwanamke ajiheshimu ila akiwa nawe ajifanye malayaEmbu tujaribu mbinu hii, kuwapea game sehemu yoyote, I mean sebuleni, chumbani , jikoni, kwenye gari, bafuni... yaan popote. Hata mkitoka mkienda porini kutembelea mashamba yenu ... shikilia mti benua mti apige kimoja Cha faster. Kama unampenda kuwa Malaya tu kwake.. no way out.
Mbinu nyingine usichague wakati, yaan kama mpo pamoja tu mpe I mean iwe asubuhi, mchana au jion usiku pia, Leo akitaka mchana poa, kesho usiku poa... usimpangie eti nitakupa kesho mwenzio kataka Leo...[emoji15]mpe kile Cha chap Kwa haraka [emoji6] egamia hata kochi pandisha kasketi hako ashushe kabukta kake hako kagumu[emoji1787] (kama ulimwachia afue hawajui kufua hao wanaacha tuboksa na povu ikikauka inakakamaa kama inataka kusimama Dede[emoji849])
Jambo lingine ni usisubiri aanze yeye kudai haki ya ndoa, anza hata wewe mwenyewe.... hizi aibu utafikiri ndio mnaanza kutongozana zinacost aisee.... hata usipotamka ukishika tu pahala pale akakutazama usoni na macho yakaongea aisee, mbona anavua chap Kwa haraka hawasubirigi hao[emoji119]
Mtu mwingine anaweza kusema tutakuwa tunashindia ngono tu[emoji3525]... maskini [emoji3064]ndio maana ulioa, uliolewa la sivyo ungekaa hata na nduguzo.....
Na mwisho ni matumiz mazuri ya ulimi, kama unampenda jishushe, usipande juu kabla yake Wala baada ya yeye kupanda juu.... Magumu yapo but relax... nimejifunza kutoka kwangu mwenyewe... Kuna neno nishawahi tamkiwa, Kali, baya, chungu.... japo aliomba msamaha but linanotafuna mpaka Leo..... utaomba msamaha Kwa kuropoka neno baya utaambiwa umesamehewa lakini unakuwa umemwachia kovu mwenzio...
Kwa mfano mwenzio ameanza kuwa na tatizo la nguvu za kiume, siku mmekwazana,wewe ukasema"nawe unajiona mwanaume katika wanaume na[emoji57] juu" Aisee huyo jamaa hatokuja akae sawa mpaka anaingia kaburini, yaan atakuwa akitaka kuchomeka tu,anakumbuka neno lako Ivo anajua unamchora tu hapo![emoji849][emoji3525]. Nina mtoto wa kiume naumia wanapoumizwa, wengine hata hawakupata malezi mazuri toka Kwa wazazi wao tuwalee hata Kwa nusu bas kama kina mama, Kuna muda mruhusu mlie pamoja anapokuwa na maswahibu toka job, wanakutana na mengi wanakosa pa kulalamikia[emoji24] daah, hata sielewi naumia na Nini wakati niliumizwa nao[emoji24][emoji24][emoji24][emoji34][emoji57]
NB: Tumieni vyombo Ivo jamani, kufa kwaja .... daah![emoji2955]
Tumebarikiwa sana miss..[emoji1787][emoji1787]Nabold uzi [emoji846][emoji846]
Hawapendagi kupimiwa mbususu
Ila bado kuna wengine utabinuka mpaka utenguke maini ila kutulia na wewe ni nehiii… labda akuheshimu kwa kucheat kwa akili sana ili usijejua.
Wale ME ambao msipopimiwa na nyie mnakuwa ma gentle in all aspects aiseee mubarikiweeee, na wallet zenu zisikose manoti [emoji6][emoji2957][emoji39][emoji39].