Kamata mwiziππ Wanajua humu ni Naira landππ
hio picha sio turkana usitudanganye turkana ni jangwa na hio pic niliokuekea ndio turkana wind projectππKumbe hujui turkana wind project, usijali utajua tu.
anatuekea picha sijui ya wapi ina ardhi nzuri wakat turakana ni jangwa πππKamata mwiziππ Wanajua humu ni Naira landππ
nazungumzia picha ulioiweka sio turkana usijifanye hujanielewaππππ eka picha halisi ya turkana
tumalize kwanza ile pic ulioiweka sio turkana alaf tuendelee sasaTuingie Kilifi sasa.
hahaha nafurahia sana nikiona huamini, umeona kama ni ng'ambo hapo ni turkana in Kenya.tumalize kwanza ile pic ulioiweka sio turkana alaf tuendelee sasa
leta ushahidi kua ile pic ni turkanaππππhahaha nafurahia sana nikiona huamini, umeona kama ni ng'ambo hapo ni turkana in Kenya.
Documentary ndo hio, 365 wind turbines, the biggest wind farm in Africa.leta ushahidi kua ile pic ni turkanaππππ
wewe ulitoka battle lini ama hakubambi tenaleta ushahidi kua ile pic ni turkanaππππ
Wewe umeleta ushahidi kuprove hapa ni Garissa Airstrip?ushahidi????ππππππ
Wewe Kijana wa choo kazi yako kuitisha ushahidi na huna chenye unaelewa. Sawa, hapo ni Manzese. Umefurahi sasa? Malenge.πππ
soma maelezo unapost mwenyewe na ushahidi unao mwenyewe πππWewe umeleta ushahidi kuprove hapa ni Garissa Airstrip?
kwenye ukweli tuseme turakana ni jangwa alaf anaweka picha ambayo haioneshe kua ni jangwa alaf tukae kushangilia uongo tuππππWewe Kijana wa choo kazi yako kuitisha ushahidi na huna chenye unaelewa. Sawa, hapo ni Manzese. Umefurahi sasa? Malenge.πππ
Wewe ndo unajidanganya, unajua 365 wind turbines ni ngapi au unaropokwa tu? rudi kwa picha uhesabu ni ngapi unaona.siku nyingine usidanganye ππππ