Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
A wao wanajua ila wanataka kutumia Kampeni kujikusanyia pesa za mafao. Kiuhalisia ni wanasiasa makanjanja maana wanafahamu hawatarudi Bungeni na bado wanataka kugombea Urais na Ubunge.
1. F. Mbowe
2. J. Mbilinyi Sugu
3. G. Lema
4. Z. Kabwe
5. H. Mdee
6. E. Bulaya
7. J. Mnyika
8. Mch. Msigwa
9. Mkosamali (atakuwa MkosaUbunge)
10. xxxxxxxxxx
Hawa hawatarudi Bungeni isipokuwa wawili ktk hao kwa makusudi maalum kama watakubali masharti watarudishwa Bungeni. Mpaka sasa haina uhakika. Ila wapo kwenye list ya kutokurudi Bungeni.
Uchaguzi 2020 utakuwa na mambo mambo yake ambayo wenye akili tunayafahamu. Hatutaruhusu watu wasio na mwelekeo kuongoza tena maeneo yetu.
1. F. Mbowe
2. J. Mbilinyi Sugu
3. G. Lema
4. Z. Kabwe
5. H. Mdee
6. E. Bulaya
7. J. Mnyika
8. Mch. Msigwa
9. Mkosamali (atakuwa MkosaUbunge)
10. xxxxxxxxxx
Hawa hawatarudi Bungeni isipokuwa wawili ktk hao kwa makusudi maalum kama watakubali masharti watarudishwa Bungeni. Mpaka sasa haina uhakika. Ila wapo kwenye list ya kutokurudi Bungeni.
Uchaguzi 2020 utakuwa na mambo mambo yake ambayo wenye akili tunayafahamu. Hatutaruhusu watu wasio na mwelekeo kuongoza tena maeneo yetu.