Lordrank
JF-Expert Member
- Apr 16, 2020
- 453
- 247
Kibaya zaidi na wewe ukiwemo Kati hao wajinga na mang'ombe. This is more than pain😀😀😀😀Sababu kuu ni kuwa na taifa la wajinga na mang'ombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibaya zaidi na wewe ukiwemo Kati hao wajinga na mang'ombe. This is more than pain😀😀😀😀Sababu kuu ni kuwa na taifa la wajinga na mang'ombe
Siishi na mang'ombe Ila natokea taifa lenye mang'ombe kama wwKibaya zaidi na wewe ukiwemo Kati hao wajinga na mang'ombe. This is more than pain[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Basi na wewe ni ng'ombe Sasa, mbona hauelewi😂😂😂😂Siishi na mang'ombe Ila natokea taifa lenye mang'ombe kama ww
Inavyoonekana mwaka huu uchaguzi utakuwa tofauti sana. Siyo kura ya mwananchi inayokwenda kuamua mani awe kiongozi/wabuge wao, bali ni masharti maalum. Na hayo masharti kuna vyama tayari vimeshakubaliana nayo.Umesema wawili Kati yao wakikubali masharti watarudi bungeni, ninani mtoa masharti anayeamua yup awe mbunge?
Kama nikweli hakuna demokrasia Wala uchaguzi ulio huru na Hali, wananchi ndio wenye mamlaka ya kuamua nani awe kiongozi wao kwa kupitia sanduku la kura.
Mkuu ni kweli huo ndio mpango wao, sasa nani wa kuwazuia kukamilisha/kuteleleza huo mpango?Weka akiba ya maneno, October si mbali. Andaeni tu NECfisiem na Polisisiem kuhujumu uchaguzi. Msifikiri tumesahau ya November 2019 kwenye uchaguzi wa TAMISEMI jinsi mlivyoiba mchakato mzima; na tunajua huo ndo mpango wenu.
Hao kazi yao kupiga kura wakishamaliza, nani atakuwa mbunge wao hiyo haiwahusu. Wenye nchi ndio wataamua.Vipi kuhusu spika je wagogo wanamtaka?
Kibajaji?
Vp mkuu ume wrong quote?=============================
Vp mkuu ume wrong quote?
Aminia Mkuu nilijua maana ulichojibu na mie nilichoandika nimeona tofauti nikajua wrong quote huwa inatokea!!Sorry mkuu nilikuwa namjibu USSR hapo juu
Aminia Mkuu nilijua maana ulichojibu na mie nilichoandika nimeona tofauti nikajua wrong quote huwa inatokea!!
Kwahiyo sisi tufanyaje?A wao wanajua ila wanataka kutumia Kampeni kujikusanyia pesa za mafao. Kiuhalisia ni wanasiasa makanjanja maana wanafahamu hawatarudi Bungeni na bado wanataka kugombea Urais na Ubunge.
1. F. Mbowe
2. J. Mbilinyi Sugu
3. G. Lema
4. Z. Kabwe
5. H. Mdee
6. E. Bulaya
7. J. Mnyika
8. Mch. Msigwa
9. Mkosamali (atakuwa MkosaUbunge)
10. xxxxxxxxxx
Hawa hawatarudi Bungeni isipokuwa wawili ktk hao kwa makusudi maalum kama watakubali masharti watarudishwa Bungeni. Mpaka sasa haina uhakika. Ila wapo kwenye list ya kutokurudi Bungeni.
Uchaguzi 2020 utakuwa na mambo mambo yake ambayo wenye akili tunayafahamu. Hatutaruhusu watu wasio na mwelekeo kuongoza tena maeneo yetu.
Mbona Mbowe anafanya atakalo huko Chadema na maisha yanaendelea? hv huu unafiki mnaofanya hamjistukii tu?Watanzania tumefanya kosa kubwa sana kumuacha mtu mmoja afanye atakalo nchini.
Atachokiamua yeye kinakuwa.
This kind of rubbish must be ended now