Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Propaganda dhaifu!Mnalipwa buku saba na CCM tena kwa kodi za wanyonge kuja kuweka propaganda dhaifu namna hii kwenye mitandao?Huyu hapa View attachment 1486928
Inamaana Z. Kabwe na F.Mbowe kurudi mjengoni mpaka wakubali kuchomolewa ubongo na kupachikwa ubongo wa kijaniA wao wanajua ila wanataka kutumia Kampeni kujikusanyia pesa za mafao. Kiuhalisia ni wanasiasa makanjanja maana wanafahamu hawatarudi Bungeni na bado wanataka kugombea Urais na Ubunge.
1. F. Mbowe
2. J. Mbilinyi Sugu
3. G. Lema
4. Z. Kabwe
5. H. Mdee
6. E. Bulaya
7. J. Mnyika
8. Mch. Msigwa
9. Mkosamali (atakuwa MkosaUbunge)
10. xxxxxxxxxx
Hawa hawatarudi Bungeni isipokuwa wawili ktk hao kwa makusudi maalum kama watakubali masharti watarudishwa Bungeni. Mpaka sasa haina uhakika. Ila wapo kwenye list ya kutokurudi Bungeni.
Uchaguzi 2020 utakuwa na mambo mambo yake ambayo wenye akili tunayafahamu. Hatutaruhusu watu wasio na mwelekeo kuongoza tena maeneo yetu.
Asitakayerudi bungeni mama yako. PumbavuA wao wanajua ila wanataka kutumia Kampeni kujikusanyia pesa za mafao. Kiuhalisia ni wanasiasa makanjanja maana wanafahamu hawatarudi Bungeni na bado wanataka kugombea Urais na Ubunge.
1. F. Mbowe
2. J. Mbilinyi Sugu
3. G. Lema
4. Z. Kabwe
5. H. Mdee
6. E. Bulaya
7. J. Mnyika
8. Mch. Msigwa
9. Mkosamali (atakuwa MkosaUbunge)
10. xxxxxxxxxx
Hawa hawatarudi Bungeni isipokuwa wawili ktk hao kwa makusudi maalum kama watakubali masharti watarudishwa Bungeni. Mpaka sasa haina uhakika. Ila wapo kwenye list ya kutokurudi Bungeni.
Uchaguzi 2020 utakuwa na mambo mambo yake ambayo wenye akili tunayafahamu. Hatutaruhusu watu wasio na mwelekeo kuongoza tena maeneo yetu.
I cant breath
Mimi siyo Chadema wala CCM lakini Sugu uhakika wa kurudi ni 99%A wao wanajua ila wanataka kutumia Kampeni kujikusanyia pesa za mafao. Kiuhalisia ni wanasiasa makanjanja maana wanafahamu hawatarudi Bungeni na bado wanataka kugombea Urais na Ubunge.
1. F. Mbowe
2. J. Mbilinyi Sugu
3. G. Lema
4. Z. Kabwe
5. H. Mdee
6. E. Bulaya
7. J. Mnyika
8. Mch. Msigwa
9. Mkosamali (atakuwa MkosaUbunge)
10. xxxxxxxxxx
Hawa hawatarudi Bungeni isipokuwa wawili ktk hao kwa makusudi maalum kama watakubali masharti watarudishwa Bungeni. Mpaka sasa haina uhakika. Ila wapo kwenye list ya kutokurudi Bungeni.
Uchaguzi 2020 utakuwa na mambo mambo yake ambayo wenye akili tunayafahamu. Hatutaruhusu watu wasio na mwelekeo kuongoza tena maeneo yetu.
Mnapokuwa na VIJANA wenye mawazo ya KUJIDHURU NA KUWADHURU WENGINE BASI NI LAZIMA TUTAMBUE KUWA KUNA HAJA YA KUWAKUMBUSHA HAWA VIJANA WENZETU wajibidiishe kuisoma vyema historian ADHIMU ya nchi hii na wafanye feasibility study kiutunduizi wakidurusu historia za nchi ZISIZOTULIA VURUGU...Jaribuni kuiba uchaguzi ili tuitie nchi kibiriti.
Kwa kutumia Polisi,Wakurugenzi ambao ni makada wa ccm,Tume isiyokuwa huru wanaweza kweli kutokurudi maana hakuna haki itakayotendeka!!!A wao wanajua ila wanataka kutumia Kampeni kujikusanyia pesa za mafao. Kiuhalisia ni wanasiasa makanjanja maana wanafahamu hawatarudi Bungeni na bado wanataka kugombea Urais na Ubunge.
1. F. Mbowe
2. J. Mbilinyi Sugu
3. G. Lema
4. Z. Kabwe
5. H. Mdee
6. E. Bulaya
7. J. Mnyika
8. Mch. Msigwa
9. Mkosamali (atakuwa MkosaUbunge)
10. xxxxxxxxxx
Hawa hawatarudi Bungeni isipokuwa wawili ktk hao kwa makusudi maalum kama watakubali masharti watarudishwa Bungeni. Mpaka sasa haina uhakika. Ila wapo kwenye list ya kutokurudi Bungeni.
Uchaguzi 2020 utakuwa na mambo mambo yake ambayo wenye akili tunayafahamu. Hatutaruhusu watu wasio na mwelekeo kuongoza tena maeneo yetu.
Wamakru wamakrallahu wallahu khayru-lmaakiryin.A wao wanajua ila wanataka kutumia Kampeni kujikusanyia pesa za mafao. Kiuhalisia ni wanasiasa makanjanja maana wanafahamu hawatarudi Bungeni na bado wanataka kugombea Urais na Ubunge.
1. F. Mbowe
2. J. Mbilinyi Sugu
3. G. Lema
4. Z. Kabwe
5. H. Mdee
6. E. Bulaya
7. J. Mnyika
8. Mch. Msigwa
9. Mkosamali (atakuwa MkosaUbunge)
10. xxxxxxxxxx
Hawa hawatarudi Bungeni isipokuwa wawili ktk hao kwa makusudi maalum kama watakubali masharti watarudishwa Bungeni. Mpaka sasa haina uhakika. Ila wapo kwenye list ya kutokurudi Bungeni.
Uchaguzi 2020 utakuwa na mambo mambo yake ambayo wenye akili tunayafahamu. Hatutaruhusu watu wasio na mwelekeo kuongoza tena maeneo yetu.
Wataiba tu kura Kama kawaida yaoWakipigiwa kura nyingi kuliko mnaowataka mtafanyaje ili wasirudi ?
Mkuu, hayo masharti ni yapi?Inavyoonekana mwaka huu uchaguzi utakuwa tofauti sana. Siyo kura ya mwananchi inayokwenda kuamua mani awe kiongozi/wabuge wao, bali ni masharti maalum. Na hayo masharti kuna vyama tayari vimeshakubaliana nayo.
Kweli ujinga mzigo hata wasiporudi itakusaidiaje wewe kuongeza ugali wako mijitu myeusi kweli nilaaniA wao wanajua ila wanataka kutumia Kampeni kujikusanyia pesa za mafao. Kiuhalisia ni wanasiasa makanjanja maana wanafahamu hawatarudi Bungeni na bado wanataka kugombea Urais na Ubunge.
1. F. Mbowe
2. J. Mbilinyi Sugu
3. G. Lema
4. Z. Kabwe
5. H. Mdee
6. E. Bulaya
7. J. Mnyika
8. Mch. Msigwa
9. Mkosamali (atakuwa MkosaUbunge)
10. xxxxxxxxxx
Hawa hawatarudi Bungeni isipokuwa wawili ktk hao kwa makusudi maalum kama watakubali masharti watarudishwa Bungeni. Mpaka sasa haina uhakika. Ila wapo kwenye list ya kutokurudi Bungeni.
Uchaguzi 2020 utakuwa na mambo mambo yake ambayo wenye akili tunayafahamu. Hatutaruhusu watu wasio na mwelekeo kuongoza tena maeneo yetu.
Ndiko wanaelekea mara ngapi.. umesahau viroba?.....nani aishi na nani afe ndiko mnapoelekea..
Mkuu haya mambo yakujiapisha kama vile nyie ndo mnapiga kura si mda itaweza leta madhara makubwa katika taifa ,note kabisa hii CCM naona mnapitiliza sasa kwenye mstari mwekundu,na sisi tunao jitambua hatuwezi fumbia mambo kama haya haiwezekani mtatuchafulia nchi hivihvi kimzaa.A wao wanajua ila wanataka kutumia Kampeni kujikusanyia pesa za mafao. Kiuhalisia ni wanasiasa makanjanja maana wanafahamu hawatarudi Bungeni na bado wanataka kugombea Urais na Ubunge.
1. F. Mbowe
2. J. Mbilinyi Sugu
3. G. Lema
4. Z. Kabwe
5. H. Mdee
6. E. Bulaya
7. J. Mnyika
8. Mch. Msigwa
9. Mkosamali (atakuwa MkosaUbunge)
10. xxxxxxxxxx
Hawa hawatarudi Bungeni isipokuwa wawili ktk hao kwa makusudi maalum kama watakubali masharti watarudishwa Bungeni. Mpaka sasa haina uhakika. Ila wapo kwenye list ya kutokurudi Bungeni.
Uchaguzi 2020 utakuwa na mambo mambo yake ambayo wenye akili tunayafahamu. Hatutaruhusu watu wasio na mwelekeo kuongoza tena maeneo yetu.
Unadhani akiingia unaye mtaka ndugu utaweza kumpeleka utakavyo? Mamlaka ya juu zaidi siyo kitu cha mchezo mchezo,ni mamlaka ambayo MUNGU mwenyewe anayajua na isitoshe mamlaka haiwezi kuongoza kwa kumsikiliza kila mtu,utasikiliza wangapi?so hata akienda unaye muona wewe kua anafaa kuna siku utamlaumu tu,lazimaWatanzania tumefanya kosa kubwa sana kumuacha mtu mmoja afanye atakalo nchini.
Atachokiamua yeye kinakuwa.
This kind of rubbish must be ended now
Tume ni ya chato ila Jana mwishoA wao wanajua ila wanataka kutumia Kampeni kujikusanyia pesa za mafao. Kiuhalisia ni wanasiasa makanjanja maana wanafahamu hawatarudi Bungeni na bado wanataka kugombea Urais na Ubunge.
1. F. Mbowe
2. J. Mbilinyi Sugu
3. G. Lema
4. Z. Kabwe
5. H. Mdee
6. E. Bulaya
7. J. Mnyika
8. Mch. Msigwa
9. Mkosamali (atakuwa MkosaUbunge)
10. xxxxxxxxxx
Hawa hawatarudi Bungeni isipokuwa wawili ktk hao kwa makusudi maalum kama watakubali masharti watarudishwa Bungeni. Mpaka sasa haina uhakika. Ila wapo kwenye list ya kutokurudi Bungeni.
Uchaguzi 2020 utakuwa na mambo mambo yake ambayo wenye akili tunayafahamu. Hatutaruhusu watu wasio na mwelekeo kuongoza tena maeneo yetu.
Mkuu, pamoja na maelezo yako mazuri Kuna kitu hujaelewa.. hao watu hawashindi kwa kura. Kura zitapigwa, lkn mshindi yupi wa kutangazwa wanaamua wao. Umeona wanasema Kuna masharti ukikubali unapewa ushindi. Kura hazihusiki hapoMkuu haya mambo yakujiapisha kama vile nyie ndo mnapiga kura si mda itaweza leta madhara makubwa katika taifa ,note kabisa hii CCM naona mnapitiliza sasa kwenye mstari mwekundu,na sisi tunao jitambua hatuwezi fumbia mambo kama haya haiwezekani mtatuchafulia nchi hivihvi kimzaa.
We ni nani mpaka upangie wananchi kwamba huyu na yule hawawezi kurudi bungeni au yule hawezi kwenda ikulu ,kama mmejipanga kulazimisha hata Yale yasiolazimika hakika nawambieni mtakiona mnachokitaka, Hawezekaniki Chama chochote kijione kina hati miliki ya taifa hili kuliko kingine ,vyama vyote ndani ya nchi ni wapangaji tu ndani ya taifa na sisi kama wananchi tunaouwezo wa kukufukuza mda wowote kupitia kura na tukasema no ,na ukilazimisha unakiona cha mtema kuni
Kipindi hiki punguzeni ushabiki na chunga kauli zenu zenye dhiaka kwa wenye nchi au waliowapangisha nchi yani WANANCHI
mambo ya kuwatamkia maneno et mara huyu ndo rais wenu,mara hao ndo wabunge wenu. mara hao hawarudi,Mara nikiamua nakukata,yani sisi tumtake mwakilishi wetu alafu umkate na sisi tunakukata hupati kura yetu hata moja
Uchaguzi una mambo yake. Ngoja kampeni zianze.A wao wanajua ila wanataka kutumia Kampeni kujikusanyia pesa za mafao. Kiuhalisia ni wanasiasa makanjanja maana wanafahamu hawatarudi Bungeni na bado wanataka kugombea Urais na Ubunge.
1. F. Mbowe
2. J. Mbilinyi Sugu
3. G. Lema
4. Z. Kabwe
5. H. Mdee
6. E. Bulaya
7. J. Mnyika
8. Mch. Msigwa
9. Mkosamali (atakuwa MkosaUbunge)
10. xxxxxxxxxx
Hawa hawatarudi Bungeni isipokuwa wawili ktk hao kwa makusudi maalum kama watakubali masharti watarudishwa Bungeni. Mpaka sasa haina uhakika. Ila wapo kwenye list ya kutokurudi Bungeni.
Uchaguzi 2020 utakuwa na mambo mambo yake ambayo wenye akili tunayafahamu. Hatutaruhusu watu wasio na mwelekeo kuongoza tena maeneo yetu.