Turning Point ni October 2020,tumwage pombe yote na kuikomboa Tanzania yetu.Wamevuruga mno misingi ya nchi hii,wamepandikiza chuki miongoni mwetu kwa kiasi kikubwa.Tunaelekea kuishi kama digidigi ndani ya Ardhi tuliyoirithi toka kwa wasisi wetu.Ni muda muhimu wa watawala kusoma alama za nyakati na wasi wa underestimate Sana watanzania sio busara kumpiga Sana paka huku ukiwa umejifungia nae ndani.
Ongeza BwegA wao wanajua ila wanataka kutumia Kampeni kujikusanyia pesa za mafao. Kiuhalisia ni wanasiasa makanjanja maana wanafahamu hawatarudi Bungeni na bado wanataka kugombea Urais na Ubunge.
1. F. Mbowe
2. J. Mbilinyi Sugu
3. G. Lema
4. Z. Kabwe
5. H. Mdee
6. E. Bulaya
7. J. Mnyika
8. Mch. Msigwa
9. Mkosamali (atakuwa MkosaUbunge)
10. xxxxxxxxxx
Hawa hawatarudi Bungeni isipokuwa wawili ktk hao kwa makusudi maalum kama watakubali masharti watarudishwa Bungeni. Mpaka sasa haina uhakika. Ila wapo kwenye list ya kutokurudi Bungeni.
Uchaguzi 2020 utakuwa na mambo mambo yake ambayo wenye akili tunayafahamu. Hatutaruhusu watu wasio na mwelekeo kuongoza tena maeneo yetu.
Mkuu nimemuelewa na najua ukizoea kula nyama ya binadam huwezi hacha ,na ndo maana nasema kama Ccm kwa kauli zao wanafikili kutumia ubabe watakipata wanachokitafuta watu wamechoka so wawapeleke wanavyo taka sio wanavyotaka wao hapo watachemka na kuwasha moto ambao hawawezi kuuzimaMkuu, pamoja na maelezo yako mazuri Kuna kitu hujaelewa.. hao watu hawashindi kwa kura. Kura zitapigwa, lkn mshindi yupi wa kutangazwa wanaamua wao. Umeona wanasema Kuna masharti ukikubali unapewa ushindi. Kura hazihusiki hapo
Ungejua huyu bosi wako namba moja hatarudi madarakani ungekuwa na adabu.A wao wanajua ila wanataka kutumia Kampeni kujikusanyia pesa za mafao. Kiuhalisia ni wanasiasa makanjanja maana wanafahamu hawatarudi Bungeni na bado wanataka kugombea Urais na Ubunge.
1. F. Mbowe
2. J. Mbilinyi Sugu
3. G. Lema
4. Z. Kabwe
5. H. Mdee
6. E. Bulaya
7. J. Mnyika
8. Mch. Msigwa
9. Mkosamali (atakuwa MkosaUbunge)
10. xxxxxxxxxx
Hawa hawatarudi Bungeni isipokuwa wawili ktk hao kwa makusudi maalum kama watakubali masharti watarudishwa Bungeni. Mpaka sasa haina uhakika. Ila wapo kwenye list ya kutokurudi Bungeni.
Uchaguzi 2020 utakuwa na mambo mambo yake ambayo wenye akili tunayafahamu. Hatutaruhusu watu wasio na mwelekeo kuongoza tena maeneo yetu.
Hili nalo hohoA wao wanajua ila wanataka kutumia Kampeni kujikusanyia pesa za mafao. Kiuhalisia ni wanasiasa makanjanja maana wanafahamu hawatarudi Bungeni na bado wanataka kugombea Urais na Ubunge.
1. F. Mbowe
2. J. Mbilinyi Sugu
3. G. Lema
4. Z. Kabwe
5. H. Mdee
6. E. Bulaya
7. J. Mnyika
8. Mch. Msigwa
9. Mkosamali (atakuwa MkosaUbunge)
10. xxxxxxxxxx
Hawa hawatarudi Bungeni isipokuwa wawili ktk hao kwa makusudi maalum kama watakubali masharti watarudishwa Bungeni. Mpaka sasa haina uhakika. Ila wapo kwenye list ya kutokurudi Bungeni.
Uchaguzi 2020 utakuwa na mambo mambo yake ambayo wenye akili tunayafahamu. Hatutaruhusu watu wasio na mwelekeo kuongoza tena maeneo yetu.